Uchaguzi 2020 Salma Kikwete, Mama wa Taifa mstaafu kazini

Uchaguzi 2020 Salma Kikwete, Mama wa Taifa mstaafu kazini

Kwenye utawala wa mume wako JK miaka 10 hii barabara mlikuwa wapi hamkuiweka lami? Sasa unakwenda kuwaomba kura Ili uwafanyie nini watu wa mchinga iwapo ulikaa miaka 10 ikulu Hali ya barabara iko namna hiyo?
 
Huku ni kuendekeza siasa za kisulutani, mme wake alikuwa rais, mtoto mbunge, yeye anawania ubunge. Ina maana hakuna familia ambao zina watu wanafaa kuongoza?

Nchi zingine watu wanaingia mitaani.
 
Huku ni kuendekeza siasa za kisulutani, mme wake alikuwa rais, mtoto mbunge, yeye anawania ubunge. Ina maana hakuna famailia ambao zina watu wanafaa kuongoza?
Nchi zingine watu wanaingia mitaani.
Baba akiwa injinia, mama injinia na mtoto injinia utaita usultani??
 
Huku ni kuendekeza siasa za kisulutani,mme wake alikuwa rais,mtoto mbunge, yeye anawania ubunge. Ina maana hakuna famailia ambao zina watu wanafaa kuongoza?
Nchi zingine watu wanaingia mitaani.
kuwatumikia wananchi ni sadaka, ni thawabu, huyu mama hana njaa akiwatumikia wananchi anawatumikia kwa moyo, sio akina mkosamali unaona kabisa dogo yuko apeche alolo
 
Nawaza tu watia nia waliechukua nae fomu mchinga wamejisikiaje kuona first lady nae kaja kugombea nafasi yao.. huku wanajua ana kura ya veto kamati kuu
 
Uongozi wa kisultan umeota mizizi Tz.
Mme alikuwa Rais
Mkewe mbunge
Mtoto mbunge
Na wote sio wanauwezo wakiutendaji la hasha kwasababu tu wanatuona Wtz wajinga.
 
Mbona naona kama vile amebaki na mguu mmoja sasa hapo anachanjaje mbuga kampeni bwana ilaanajitahidi atatoboa huyu sasa kwahuyu tume walishindwa kutengeneza mazingira yakupita bilakupingwa au wameamua tu atoejasho nikonayeye atashinda pamoja naubaguzi watume
 
kuwatumikia wananchi ni sadaka, ni thawabu, huyu mama hana njaa akiwatumikia wananchi anawatumikia kwa moyo, sio akina mkosamali unaona kabisa dogo yuko apeche alolo
Amekaa ikulu miaka 10. Kwenye Hilo Jimbo la mchinga aliwafanyia nini? Ili leo wampatie ubunge
 
Back
Top Bottom