residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Mhh!!
Hi picha mbona inaonekana kama anakimbizwa au "anasambizi"!!??
Hi picha mbona inaonekana kama anakimbizwa au "anasambizi"!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza pesa alizofisadi na mumewe hazijamtosha?kuwatumikia wananchi ni sadaka, ni thawabu, huyu mama hana njaa akiwatumikia wananchi anawatumikia kwa moyo, sio akina mkosamali unaona kabisa dogo yuko apeche alolo
sasa huko ikulu si alikuwa mke, angejengaje barabara? mbunge wa wakati ule ndio tumuulizeAmekaa ikulu miaka 10. Kwenye Hilo Jimbo la mchinga aliwafanyia nini? Ili leo wampatie ubunge
We umesema hana njaa atawatumikia watu vizuri,je alizochota na mume wake hazijamtosha? Inasadikiwa walihusika kwenye ufisadi mkubwa sana, Epa, kagoda n.ksasa huko ikulu si alikuwa mke, angejengaje barabara? mbunge wa wakati ule ndio tumuulize
CUFAnawaektia watu wa sijui Lindi au ndio Mtwara kwani hilo jimbo miaka yote linaongozwa na mbunge kutoka chama gani?
Huu mfano unahusiana vipi na nafasi za uongozi wa nchi?Baba Mkulima mama mkulima na mtoto mkulima huo ni usultani?
Anatia kichefuchefu, tamaa iliyopindukiaView attachment 1575455
Ni Salma Kikwete akiwa jimboni mchinga akizisaka kura kwa udi na uvumba.Hapo anachanja mbuga mlimani -Maweni Mputwa
Pongezi nyingi kwake.
Mama anaenda "kutema chechee-Kwa sauti ya JK.
CCM INA HAZINA YA WANACHAMA
Labda uwenyekiti wa UWTHuyu anataka Uraisi au
Hao mainjinia wanakula kodi ya nani wewe jingwalaoBaba akiwa injinia, mama injinia na mtoto injinia utaita usultani??