Salome Mgaya (Mama Kibonge) akamatwa kwa ukwepaji Kodi za Mabilioni ya fedha Bandarini

Salome Mgaya (Mama Kibonge) akamatwa kwa ukwepaji Kodi za Mabilioni ya fedha Bandarini

Yule wa Tanga anajiita Nyumba ya bati. Halafu akasema gari imebadilishwa maumbile. Mama muuza vipodozi baada ya kuomba namba akasema Sasa nataka mkate na maziwa. Nampandia waziri mkuu juu Kwa juu. mwingine ameandika mwenyewe lakini anasoma kama mtoto anaye jifunza kusoma. Wafanya biashara wengine ni comedians
 
Mama bonge...hajawah shindwa vita...na hii vita anapigwa na boss wa simba na mamluki kibao..kuna kaumafia fulan hivi kwenye hii biashara ya vitenge....kuna mmoja anataka kuwa supplyer na ni billionea na mzawa lakin kiwanda chake hakikidhi uhitaji wa bidhaa kwa hao wahitaji.,,na hapa ndio vita ilipoanzia tokea enz za Magu....

NB bil 5 kwa mama bonge...aah jaman mbona wanamchafua...pesa ya mandaz kabisa hyo...
Hatimae .....🙌
 
Mi nadhani nyeupe isemwe nyeupe na nyeusi isemwe nyeusi ukwepwaji wa kodi kwa wafanyabiashara upo mwingi sana na hii haipingiki kupitia stoo inajulikana, kutoa risiti za mzigo pungufu kithamani nayo kawaida. Wafanyabiashara nchi hii si wazalendo yajulikana upande wa pili napo tatizo kuna vikodi vingi vingi na vya kipuuzi ambavyo mwisho wa siku mpaka upande wa pili wanapata sababu kuleta haya yaliyotokea.

Hitimisho: NANI AMVISHE PAKA KENGERE
Siyo nchi hii hakuna mfanyabiashara anayetaka kushare profit yake nusu KWA nusu na serikali kwa kazi kubwa wanzofanya mkuu ushawahi kaa kkoo unaona jinsi wafanyabiashara wanapitia ugumu, nenda maeneo ya mombasa, gmboto, mbagala uone wafanyabiashara wanafunga maduka kuwakimbia TRA, wanakodi za kipumbavu na ni WEZI waliokubuhu mtu ana duka la thamani ya mili5 unampga faini milion7 seriously?? BADO taka, BADO manispaa, BADO leseni bado kodi ya pango , hao wanaoitwa TRA tuwape mwezi mmoja halafu wasimamiwe kutoa kodi hata wiki2 hawatoboi wafanyabiashara hii nchi wanateseka ni basi tu umejaa ubabe
 
Kuna kitu hakipo sawa hasa katika maswala ya kodi nchini Tanzania na hapa anatafutwa mbuzi Wa kafara katika hii movie .Nilazima waliopewa dhamana ya kuongoza nchi kuzingatia viapo vyao na ningeomba mama awe mkali kwa wasaidizi wake maana walio wengi ni wapigaji they don't mean what they say ile style ya jpm panga pangua ili kuwa ni sababu ya haya maukakasi tunayo yaona nchini kwa sasa. Kama Dar usoni mwa nchi kuna utusi tusi mwingi wa namna hii habari gani huko mikoani kwenye halmashauri ,mipakani ?
Wapigaji Sasa hivi ndiyo wenye Nchi,mtapiga kelelee sana,na Mama hana habari na kelelee zenu, ndiyo kwanza akiona makelele yanazidi anakula zake mwewe huyo Ughaibuni ku relax!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ukiagiza ki-probox chako cha 5m TRA na bandari wanakupiga kodi ya 10m. Umaskini nchi hii hautakaa uishe kama watu kama Mgulu wa chemba, marope, na nepi ni mawaziri.
yaani hapo ndio huwa naona TRA ni mashetani. kwenye kununua gari nje bei na kuja hapa wanatandika. kwanini wasiruhusu magari mengi yaingie kwa kodi ya chini afu watupige kodi kwenye wese manake mtu akishakuwa na gari hapa ndani hawezi kuilaza home bila kununua mafuta, wangepata wateja wengi sana wa kodi ya wese.
 
Back
Top Bottom