Magulumelafulu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 495
- 602
Mi nadhani nyeupe isemwe nyeupe na nyeusi isemwe nyeusi ukwepwaji wa kodi kwa wafanyabiashara upo mwingi sana na hii haipingiki kupitia stoo inajulikana, kutoa risiti za mzigo pungufu kithamani nayo kawaida. Wafanyabiashara nchi hii si wazalendo yajulikana upande wa pili napo tatizo kuna vikodi vingi vingi na vya kipuuzi ambavyo mwisho wa siku mpaka upande wa pili wanapata sababu kuleta haya yaliyotokea.
Hitimisho: NANI AMVISHE PAKA KENGERE
Hitimisho: NANI AMVISHE PAKA KENGERE