Huo mwandiko sasa, mbona mtihani!KULE KAMA SIO MZ9EFU LABDA UUZE MIKOJOO ELSE UTAFUNGATU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mwandiko sasa, mbona mtihani!KULE KAMA SIO MZ9EFU LABDA UUZE MIKOJOO ELSE UTAFUNGATU
Vita nyingi, kuuziwa mzigo wa wiziYaani biashara za kariakoo zina vita ukiwa mwepesi unaachia ngazi
Mchezo unachezwa bandariniMakontena yote yana tracker. Na pia all transit Containers lazima pale Kibaha zihakikiwe kabla ya kuendelea na Safari- How comes hii itokeee mara nyingi kwa huyu mama kuwa ni mkwepa kodi?? Ina maana basi port, TRA yote ipo mfukoni kwake[emoji16]
Wakikuta magendo kwako, wanachukua mzigo wooooteKodi ni kubwa Sana, makotena 2 ya vitenge ndio Billion 5 ?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huo mzigo utaishia barrier ya MlowoNa hili ndiyo tatizo kubwa, kuna siku nimekuta vitenge pale Tunduma vinauzwa bei chee sana nikashangaa na kuuliza ndiyo nikaambiwa Zambia kodi iko chini, kama ilivyo kwenye mafuta ya magari. Yaani kuna wauza vitenge wanaweza kwenda Zambia kununua mzigo na kuuleta kwetu kuuza. Angalia kwa mfano ushuru wa magari, yaani ushuru unazidi bei ya kununua hilo gari.
Nyingi zinafungwa kwenye magariWewe ndugu hiyo tracker inahamishiwa kwenye bodaboda inaendeshwa mpaka mpakani, wanatoa documents zinagongwa
Waulize vijana wa mlandizi bodaboda wanapewaga dili za kupeleka tracker s mpaka mpakan
Alikuwa na watuAliwezaje kusurvive enzi za Magufuli huyo mama kibonge?
Magu nasikia alikuwa anagongaAlikuwa na watu
Nasikia ana nundu ya hatariJambo zuri ni kuwa TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Kamanda na Jemedari Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na amethubutu na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.[emoji23]
Kweli kabisa, fikiria saa 7 dk 56 za usiku Mama Bonge hajalala, anasimamia shoo ya kushusha mzigo!biashara hizi zina mengi sana, ndiyo maana wengine hatutoboi.
PSU hawawezi kubali kirahisi hivyoMagu nasikia alikuwa anagonga
Una neno mkuu?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jambo zuri ni kuwa TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Kamanda na Jemedari Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na amethubutu na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.[emoji23]
Tuma pichaMbona Mama Kibonge siyo BONGE?
🤣Mbona Mama Kibonge siyo BONGE?
Labda amefanya dietNamuona hapa live kwenye kamati ya waziri mkuu ,nilijua atakuwa BONGE kama ASHA BOKO.