Naunga mkono hoja?Hii inathibitisha kuwa mfumo wa ukaguzi bandarini ni mbovu na hata uandaaji wa nyaraka na upitishaji mizigo mipaka ya nchi jirani ni questionable
Huu uzembe wa wazi au ombwe kubwa kupitisha mizigo kiholela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja?Hii inathibitisha kuwa mfumo wa ukaguzi bandarini ni mbovu na hata uandaaji wa nyaraka na upitishaji mizigo mipaka ya nchi jirani ni questionable
Wewe ndugu hiyo tracker inahamishiwa kwenye bodaboda inaendeshwa mpaka mpakani, wanatoa documents zinagongwaMakontena yote yana tracker. Na pia all transit Containers lazima pale Kibaha zihakikiwe kabla ya kuendelea na Safari- How comes hii itokeee mara nyingi kwa huyu mama kuwa ni mkwepa kodi?? Ina maana basi port, TRA yote ipo mfukoni kwake😁
Mfanyabiashara mwenye shehena hiyo alitorokea Dubai majuma matatu yaliyopita, huku TRA wakiweka doria na ulinzi mkali sana.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Heading inatofautiana na maudhui
Utatoboa vipi, wakati wengine wanapitisha bidhaa bila kulipia kodi, alafu wewe unalipia kila kitu. Yeye atauzi bei ya chini maana gharama zake ni kidogo.biashara hizi zina mengi sana, ndiyo maana wengine hatutoboi.
Mnailaumu TRA bure. Mnawalaumu wabunge wenu wanaipitisha kodi bila kuhoji. TRA ni watekelezaji tu.Ila tuacheni utani kodi TRA kubwa sana bila ujanja janja hakuna kutoboa.
Tafiti..Mnailaumu TRA bure. Mnawalaumu wabunge wenu wanaipitisha kodi bila kuhoji. TRA ni watekelezaji tu.
Ivi TRA ndio kuna TRAT na TRAB?Tra wanafiki tupu..mnaumiza watanzania wenzetu ila waarabu na wahindi mnawachekea..acheni unafiki.
#MaendeleoHayanaChama
Pesa ya maandazi kwake ?Mama bonge...hajawah shindwa vita...na hii vita anapigwa na boss wa simba na mamluki kibao..kuna kaumafia fulan hivi kwenye hii biashara ya vitenge....kuna mmoja anataka kuwa supplyer na ni billionea na mzawa lakin kiwanda chake hakikidhi uhitaji wa bidhaa kwa hao wahitaji.,,na hapa ndio vita ilipoanzia tokea enz za Magu....
NB bil 5 kwa mama bonge...aah jaman mbona wanamchafua...pesa ya mandaz kabisa hyo...
Kwani kamishana waTRA boss wake ni nani?TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Kamanda na Jemedari Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba badala ya mkurugenzi wa TRA?
Sijui yale malalamiko ya mbunge mmoja (KE) kwa waziri Mwigulu yamemuamsha huyu Waziri. Mbunge alisema: Acheni kunyanyasa watanzania walala hoi kwa hizi tozo zenu, badala yake wabaneni matajiri wanaokwepa kodi.Hii inathibitisha kuwa mfumo wa ukaguzi bandarini ni mbovu na hata uandaaji wa nyaraka na upitishaji mizigo mipaka ya nchi jirani ni questionable
Huelewi nn?Pesa ya maandazi kwake ?
Huelewi nn?