Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Nimeandika comment ndefu nikafuta.dah.!Kabisa mkuu,mama kibonge si wa kwanza na atokua wa mwisho kukwepa kodi,yote kutokana na misingi tuliyojiwekea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeandika comment ndefu nikafuta.dah.!Kabisa mkuu,mama kibonge si wa kwanza na atokua wa mwisho kukwepa kodi,yote kutokana na misingi tuliyojiwekea
Umenikumbusha jamaa yangu mkinga nae ana mashushu wanaopeleleza stoo na maduka wanaofanya biashara kama yake, wanampa mrejesho kila jumapili hali ikoje nani kaingiza sample mpya na umbeaumbea mwingine na anawalipa kabisa maana saa nyingine wanamendea kuhamisha wateja kwa trick kali unashangaa mteja kakuhama kumbe ashatiwa sumu kali na offer kibao,
Ngada haihusiki hapa?Yule mama ni koboko aisee...yule boss wa simba alitingishwa haswa...mwaka juz alinunua ghorofa tatu kkoo ndan ya mwez mmoja....afu akachukua mansion ya bil 8 osterby ...baada ya hapo akafunga maduka yake akaenda pumzika US mwez mzima....😂😂
mkuu kariakoo ni zaidi ya unachokisema..kuna uzi wa mshana jr...ujasusi wa kibiashara kkooNgada haihusiki hapa?
Na kodi zao zinalazimisha kukwepa kihalali hazilipiki na si kwamba hawajui lengo kijitengezea mazingila ya kula rushwa tuUtajiri wa halali ni mgumu sana kuupata
Tatizo tamaa ya faida kubwaIla tuacheni utani kodi TRA kubwa sana bila ujanja janja hakuna kutoboa.
Nasikia kodi za TRA kwenye kuingiza hivyo vitenge ziko juu sana, ukilinganisha kwa mfano na wenzetu Zambia ambao Pia hupitishia bandarini kwetu. Kama hili ni kweli basi hizi kodi ziangaliwe upya.biashara hizi zina mengi sana, ndiyo maana wengine hatutoboi.
Huwezi kuelewa mambo haya.Tatizo tamaa ya faida kubwa
Huoni mawaziri 8 wako mikoani kutatua kero/migogoro ya ardhi? Kumbuka huko mikoani kuna RC, RAS, DC, DED, DAS etcKaI ya polisi imefanywa na Waziri?
Namkumbuka Sabaya na moves zake kuingilia majukumu ya wengine
Hongereni TRA
Na hili ndiyo tatizo kubwa, kuna siku nimekuta vitenge pale Tunduma vinauzwa bei chee sana nikashangaa na kuuliza ndiyo nikaambiwa Zambia kodi iko chini, kama ilivyo kwenye mafuta ya magari. Yaani kuna wauza vitenge wanaweza kwenda Zambia kununua mzigo na kuuleta kwetu kuuza. Angalia kwa mfano ushuru wa magari, yaani ushuru unazidi bei ya kununua hilo gari.Ila tuacheni utani kodi TRA kubwa sana bila ujanja janja hakuna kutoboa.
minatembea na iyo reli sema siku nikinasa ntapooza mambo kwa kutoa rushwa.Ila tuacheni utani kodi TRA kubwa sana bila ujanja janja hakuna kutoboa.
Kwamba sijui Kodi zinapunguza faida na mfanyabiashara ana tamaa ya kupata faida kubwa!!?Huwezi kuelewa mambo haya.
AstafillaiWowowo la mama kibonge hata magu mwenyewe alikuwa analimezea mate
Niwapongeze tra kwa kazi hii maana nchi inahitaji kodi ili kufanikisha yale yote ambayo yanatarajiwa. Hii ni haua nzuri kwa mamlaka na hii itafanya wengine waogope mchezo huu.nadhani kila mtu akilipa kodi kiukweli namatumaini kiwango cha kodi kitashuka sababu tunapenda kwepa lakini mwisho wa siku maendeleo ya nchi yetu yataletwa na sisi wenyewe .Possibly Kuna msururu wa vigogo aliwaweka mifukoni.
->hii ni weakness ya watendaji, alipie mzigo wake kihalali na inavyostahili tusonge mbele under spesho monitoring!