Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Ila ndugu zangu TRA kuweni na macho ya kibiashara... watu wanakwepa kodi kwa kuwa sheria
Haizendani na hali halisi ya biashara,
Fine, Penalty and Charges... hapo ndipo kwenye shida zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ndugu zangu TRA kuweni na macho ya kibiashara... watu wanakwepa kodi kwa kuwa sheria
kweli kabisa usemayoAah kabisaa...shida ya officers wengi wa TRA hawajawah fanya biashara....
Da ila hawa jamaa TRA huwa nawaonea huruma sana maana kila jambo wakifanya ni kama vile ukisimama nchale ukikaa nchale hawana jema wafanyalo . sidhani kama kila jambo likiibuka inakuwa ni rushwa naamini wapo wazalendo wengi tu ambao wanataka taifa letu lifike mbeleWakinyimwa hongo ndio unasikia usanii huo eti wamekamata shehena , hapo kuna mtu tra au policcm kanyimwa mgao WA rushwa so kaamua kuwalipua wenzake
Ni kukosa ubunifu na kazi za kufanyaHuoni mawaziri 8 wako mikoani kutatua kero/migogoro ya ardhi? Kumbuka huko mikoani kuna RC, RAS, DC, DED, DAS etc
Ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.Leo tarehe 13 Oktoba 2022, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata shehena ya mizigo ya vitenge ya marobota 290 katika kontena mbili yenye thamani zaidi ya tsh. Billioni 5 iliyopitishwa kwa magendo katika bandari zetu.
Mfanyabiashara mwenye shehena hiyo alitorokea Dubai majuma matatu yaliyopita, huku TRA wakiweka doria na ulinzi mkali sana.
Mfanyabiashara huyo wa Kariakoo, mtaa wa Aggrey, Bi. Salome Mgaya, maarufu kama 'Mama Kibonge' au 'Mkinga' amekuwa akifanya jambo lolote bila kuguswa na yoyote pindi anapoingiza mizigo yake nchini kwa njia za magendo. Muda mwingine amekuwa anawatishia watumishi wa Bandari au TRA kuhamishwa au kufukuzwa kazi.
TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.
Mama Kibonge amekuwa akidaiwa kutamba kwa zaidi ya miaka kadhaa bila kukamatwa na kuguswa na mamlaka nchini Tanzania.
Kwa wasiofahamu na wanaomtetea Mama Kibonge kukamatwa kwa Mizigo yake hawajui kuwa, wanamtetea mkwepaji kodi, fiisadi na haramia wa Mapato ya Nchi yetu.
View attachment 2386213
Inawezekana vipi mzigo upite bandarini bila kulipiwa kodi? Nafikiri ili haki itendeke, chain nzima inayohusika na ukwepaji wa kodi, isiachwe bila kuguswa.Leo tarehe 13 Oktoba 2022, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata shehena ya mizigo ya vitenge ya marobota 290 katika kontena mbili yenye thamani zaidi ya tsh. Billioni 5 iliyopitishwa kwa magendo katika bandari zetu.
Mfanyabiashara mwenye shehena hiyo alitorokea Dubai majuma matatu yaliyopita, huku TRA wakiweka doria na ulinzi mkali sana.
Mfanyabiashara huyo wa Kariakoo, mtaa wa Aggrey, Bi. Salome Mgaya, maarufu kama 'Mama Kibonge' au 'Mkinga' amekuwa akifanya jambo lolote bila kuguswa na yoyote pindi anapoingiza mizigo yake nchini kwa njia za magendo. Muda mwingine amekuwa anawatishia watumishi wa Bandari au TRA kuhamishwa au kufukuzwa kazi.
TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.
Mama Kibonge amekuwa akidaiwa kutamba kwa zaidi ya miaka kadhaa bila kukamatwa na kuguswa na mamlaka nchini Tanzania.
Kwa wasiofahamu na wanaomtetea Mama Kibonge kukamatwa kwa Mizigo yake hawajui kuwa, wanamtetea mkwepaji kodi, fiisadi na haramia wa Mapato ya Nchi yetu.
View attachment 2386213
Alipe kodi tu kama wenzake hatutakuwa na shida naye.Mama bonge...hajawah shindwa vita...na hii vita anapigwa na boss wa simba na mamluki kibao..kuna kaumafia fulan hivi kwenye hii biashara ya vitenge....kuna mmoja anataka kuwa supplyer na ni billionea na mzawa lakin kiwanda chake hakikidhi uhitaji wa bidhaa kwa hao wahitaji.,,na hapa ndio vita ilipoanzia tokea enz za Magu....
NB bil 5 kwa mama bonge...aah jaman mbona wanamchafua...pesa ya mandaz kabisa hyo...
Thibitisha maneno yako basi.Tra wanafiki tupu..mnaumiza watanzania wenzetu ila waarabu na wahindi mnawachekea..acheni unafiki.
#MaendeleoHayanaChama
Hapo huwa anakula na hao hao TRA na bandari sema labda walipandisha dau ama kuna mwenzao walimpiga hawakumpa posho yake akaamua kumwaga mboga....na ikishakuwa hivyo wote aliokuwa akifanya nao huo uharamia wanamruka futi 260 kulinda vibarua vyaoHii inathibitisha kuwa mfumo wa ukaguzi bandarini ni mbovu na hata uandaaji wa nyaraka na upitishaji mizigo mipaka ya nchi jirani ni questionable
We Acha tuubiashara hizi zina mengi sana, ndiyo maana wengine hatutoboi.
Nshumbi MadeluJambo zuri ni kuwa TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Kamanda na Jemedari Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na amethubutu na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.[emoji23]
Na wanaomuwezesha ambao wamo kwenye mifumo wawajibishwe. Yeye peke yake hawezi kufanya hayo.Alipe kodi tu kama wenzake hatutakuwa na shida naye.
Kama wenzake wanalipa kodi na yeye anakwepa hiyo inakuwa unfair competition.