Salome Mgaya (Mama Kibonge) akamatwa kwa ukwepaji Kodi za Mabilioni ya fedha Bandarini

Salome Mgaya (Mama Kibonge) akamatwa kwa ukwepaji Kodi za Mabilioni ya fedha Bandarini

Aah kabisaa...shida ya officers wengi wa TRA hawajawah fanya biashara....

Halafu mbona michezo yakupiga sill mzigo kama wa transit then unapigwa chini humuhumu ndani zinagongwa document border kama umepita mbona inafanyika sana, magu ndio alikomesha kidogo unaona kwenye mafuta vituo vinavoota kama uyoga kibaha to chalinze unadhani ni nini?

Watu wanaingiza vitenge kama nguo za mtumba yote hii kodi ya TRA kubwa yaani zambia kitenge bei rahisi kuliko Tanzania yenye bandari hivo watu wanajiongeza na kukwepa kodi, kwanza unakuta watu wawili konyena 40ft nyote mnavitenge na supplier wenu mmoja lakini hiyo kodi kubwa ya kutisha na kila mmoja kodi yake.
 
Halafu mbona michezo yakupiga sill mzigo kama wa transit then unapigwa chini humuhumu ndani zinagongwa document border kama umepita mbona inafanyika sana, magu ndio alikomesha kidogo unaona kwenye mafuta vituo vinavoota kama uyoga kibaha to chalinze unadhani ni nini? Watu wanaingiza vitenge kama nguo za mtumba yote hii kodi ya TRA kubwa yaani zambia kitenge bei rahisi kuliko Tanzania yenye bandari hivo watu wanajiongeza na kukwepa kodi, kwanza unakuta watu wawili konyena 40ft nyote mnavitenge na supplier wenu mmoja lakini hiyo kodi kubwa ya kutisha na kila mmoja kodi yake
Issue ya kodi bandarin inategemea mahusiano yako na walio kuzunguka eneo lile...yaan connection ndio kila kitu...cjui wazanzibar walitukosea nn?? 😂😂
 
Mama bonge...hajawah shindwa vita...na hii vita anapigwa na boss wa simba na mamluki kibao..kuna kaumafia fulan hivi kwenye hii biashara ya vitenge....kuna mmoja anataka kuwa supplyer na ni billionea na mzawa lakin kiwanda chake hakikidhi uhitaji wa bidhaa kwa hao wahitaji.,,na hapa ndio vita ilipoanzia tokea enz za Magu....

NB bil 5 kwa mama bonge...aah jaman mbona wanamchafua...pesa ya mandaz kabisa hyo...
Wanamuona tu mbona wageni hawalipi kodi wanaachwa tu

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mama bonge...hajawah shindwa vita...na hii vita anapigwa na boss wa simba na mamluki kibao..kuna kaumafia fulan hivi kwenye hii biashara ya vitenge....kuna mmoja anataka kuwa supplyer na ni billionea na mzawa lakin kiwanda chake hakikidhi uhitaji wa bidhaa kwa hao wahitaji.,,na hapa ndio vita ilipoanzia tokea enz za Magu....

NB bil 5 kwa mama bonge...aah jaman mbona wanamchafua...pesa ya mandaz kabisa hyo...

Yaani biashara za kariakoo zina vita ukiwa mwepesi unaachia ngazi
 
Yaani biashara za kariakoo zina vita ukiwa mwepesi unaachia ngazi

Umenikumbusha jamaa yangu mkinga nae ana mashushu wanaopeleleza stoo na maduka wanaofanya biashara kama yake, wanampa mrejesho kila jumapili hali ikoje nani kaingiza sample mpya na umbeaumbea mwingine na anawalipa kabisa maana saa nyingine wanamendea kuhamisha wateja kwa trick kali unashangaa mteja kakuhama kumbe ashatiwa sumu kali na offer kibao,
 
Jambo zuri ni kuwa TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Kamanda na Jemedari Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na amethubutu na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.[emoji23]
Makontena yote yana tracker. Na pia all transit Containers lazima pale Kibaha zihakikiwe kabla ya kuendelea na Safari- How comes hii itokeee mara nyingi kwa huyu mama kuwa ni mkwepa kodi?? Ina maana basi port, TRA yote ipo mfukoni kwake😁
 
Ukiwa afisa pale TPA tower mazingira yanakushape kuwa mla rushwa documents zinakuwa pinned na vitita vya pesa automatically unajikuta umeingia kwenye mfumo na vile Tanzanian tumekosa uzalendo Kila kinachopitia bila ya kujali kinavunja utaratibu unajikuta unatia baraka.
 
Yaani siku kila kitu kinafanywa na hizi mamlaka eti kwa sababu Rais kaelekeza...

Ina maana Rais asingeelekeza chochote ndio inhekuwa 'ntolee'? au ni kujipendekeza tu waonekane wanafanya kazi...
Yaani badala ya kutimiza wajibu Kwa mujibu wa Sheria, kila Kitu rais.
 
Hyo tracker inasaidia Nini??Watu wakitaka kufanya uhuni.. mf kushusha mafuta ambayo hayajalipiwa Kodi??
Makontena yote yana tracker. Na pia all transit Containers lazima pale Kibaha zihakikiwe kabla ya kuendelea na Safari- How comes hii itokeee mara nyingi kwa huyu mama kuwa ni mkwepa kodi?? Ina maana basi port, TRA yote ipo mfukoni kwake😁
 
Back
Top Bottom