Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Mamlaka za serikali zijitafakari, sasa anawatishiaje wafanyakazi wa bandari na tra nao wanamwacha apitishe hiyo mizigo?
Basi yeye ni shina, mzizi hawajautoa maana kama walikuwa wanamwogopa basi ana backup nyuma yake na hiyo backup ndio ya kudeal nayo
Basi yeye ni shina, mzizi hawajautoa maana kama walikuwa wanamwogopa basi ana backup nyuma yake na hiyo backup ndio ya kudeal nayo