Vinachekesha yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jambo zuri ni kuwa TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Kamanda na Jemedari Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na amethubutu na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.[emoji23]
Asali ndg yangu,Kuna kontena jingine la sigara feki zenye thamani ya zaidi tsh. 1bil limekamatiwa Shinyanga likitokea Congo,Sasa Jiulize kote huko lilipitaje?
Huna hata kapicha ka mama kibonge mkuu. Nina miaka sijaona wowowo mkuu wanguWowowo la mama kibonge hata magu mwenyewe alikuwa analimezea mate
Ni jimama flani hivi jeupee la kimjini..lina wowowo balaaHuna hata kapicha ka mama kibonge mkuu. Nina miaka sijaona wowowo mkuu wangu
Ni jambo kubwa sana kwa Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba
Mwingulu hastahili hizi sifa hapa acha kujipendekeza kwa kutoa sifa zisizostahili,Jambo zuri ni kuwa TRA wameendesha Operesheni Maalum chini ya Kamanda na Jemedari Waziri wa Fedha Mwigulu Madelu Nchemba na amethubutu na kuweza kumdhibiti Mama Kibonge.
Unaweza kukuta hao hao wanaosema amekimbilia dubai ndio waliomsaidia kufika hukoMamlaka za serikali zijitafakari, sasavanawatishiaje wafanyakazi wa bandari na tra nao wanamuacha tubspitishe hiyo mizigo?
Basi yeye ni shina mzizi hawajautoa maana kama walikuwa wanamwogopa basi ana backup nyuma yake na hiyo backup ndio ya kudeal nayo
Mimi mwenyewe hapa nikiri tu niko upande wa Mama Kibonge/bonge. Hata mimi nikipata mwanya wa kukwepa kodi, sitajiuliza mara mbili mbili. Nitakwepa faster.Ila tuacheni utani kodi TRA kubwa sana bila ujanja janja hakuna kutoboa.
Mo anahusika.Mama bonge...hajawah shindwa vita...na hii vita anapigwa na boss wa simba na mamluki kibao..kuna kaumafia fulan hivi kwenye hii biashara ya vitenge....kuna mmoja anataka kuwa supplyer na ni billionea na mzawa lakin kiwanda chake hakikidhi uhitaji wa bidhaa kwa hao wahitaji.,,na hapa ndio vita ilipoanzia tokea enz za Magu....
NB bil 5 kwa mama bonge...aah jaman mbona wanamchafua...pesa ya mandaz kabisa hyo...
Tunabaki kujiona km tunamikosi kumbe mbinu za mchezo hatuna..biashara hizi zina mengi sana, ndiyo maana wengine hatutoboi.