Salum Hamdun: Hakuna miundombinu ya reli Kilimanjaro iliyoharibiwa

Salum Hamdun: Hakuna miundombinu ya reli Kilimanjaro iliyoharibiwa

Kama RPC ameshakanusha, nini kitakachofuata? Bwana Sabaya ataendelea kuachwa huru ili amsakame Mbowe mwingine? Je kuitwa Mbowe ni "abomination" kiasi ambacho unastahili kuwa "condemned"?

Je ni halali kutafuta utukufu wa duniani "at the expense of reputation" za watu ambao wamechukua muda mrefu kuzijenga? Je bwana Sabaya ana "Diplomatic Immunity???
Wanaomsakama Mbowe hupandishwa vyeo na Magufuli , mfano hai ni Byakanwa
 
Wapo wavuta Bangi wengine ni wastaarabu sana Mkuu huyu dogo labda anayo matatizo ya Akili ..
Kujitutumua kama Kifutu. Hai kuna Matatizo Lukuki, Vijana hawana Ramani ya maisha. Wameishia kunywa Banana na kuvuta Bhangi. DC anashindwa kuwapa mbinu za kujikomboa anatafuta beef na wakaazi. Zao linaloeweka na soko lake wilayani DC ameshindwa kulisimamia Vijana wajiajiri. Daily Upinzani , Upinzani unashutumiwa kutoleta Maendeleo. Awape Basi yeye Maendeleo kuliko kujenga beef na Watu.
 
DC Sabaya hii account yako hujaisahau kukusupport ?bado zile nyingine mbili.mpaka zitimie zote nne.na ile moja ulisema siku ile unaitumia kama mpinzani kuwaponda wenzio walio ccm

Kwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,

Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga

Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu

Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?

Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.

Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,

Dc @⁨🇲 🇭 🇪 🇩 🇨 🇸 🇦 🇧 🇦 🇾 🇦⁩ chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DC ana sources tofauti za info. Anaweza kuwa kapata info za kiintelijensia toka Usalama wa Taifa ambapo RPC hawezi jua.
Simtetei DC Ila naongeza nyama...
Labda aliwasingizia or May be not
Kiongozi mwenye mamlaka inatakiwa atunze kauli zake 'a public figure has to keep his words'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za Sabaya si siasa. Ni mambo ya kitoto...!

Haiingii akilini kuwa wafanyabiashara wa mabasi wawili tu Tanzania nzima, tena kutoka Wilayani kwake wanapanga kuhujumu Shirika la Reli. Ina maana treni inaathiri tu wafanyabiashara wa Hai?
Siyo kupanga ila eti wamehujumu miundombinu na kutoa amri wakamatwe matamko nyuma ya mikamera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu anakurupuka na kubambikizia watu kesi. Hii inatokana na kukataliwa kwa maombi yake ya kutata hao wafanyabiashara wampe pesa. Ref. yule wa asante tours na lodge yake.

Kitakachofuatilia hapo ili kufunika kombe, huyo sabaya na genge lake la wahuni watatafuta namna ya kuhujumu hiyo miundo mbinu ili ionekane kuwa aliyoyasema ni kweli, pia atapandikiza watu waseme wao ndo waliotumwa na wafanya biashara hao wa mabasi kufanya huo uaribifu.
Kwasasa itakuwa ngumu kumeza maana vyombo vya habari vimesha sema wana kesi ya uhujumu uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapaswi kuomba radhi bali anatakiwa awajibike au awajibishwe. Kiongozi anayesema uongo ambai unasababisha tahaluki kwa wananchi na udhalilishaji kwa watu wema hafai. Ni kanuni ya utawala bora. Lakini kama tunavyojua kwa sasa utawala bora ni adimu hakuna kitakachotokea.
Hivi tafsiri ya hili neno lifuatalo la kimombo ni ipi 'business as usual'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani umeandika tu bila hata reference yoyoye, hayo umeyatoa kichwani au?
Upo dunia ya ngpi?
FB_IMG_15798901868781743.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,

Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga

Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu

Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?

Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.

Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,

Dc @⁨🇲 🇭 🇪 🇩 🇨 🇸 🇦 🇧 🇦 🇾 🇦⁩ chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha akili finyu mkuu,Kwan huyo dc wa korogwe alitaja watu majina?
Haya mbona polisi wamekanusha? Mnaweza kulipa fidia ya kuwachafua watu? Kwan msifanye uchunguzi kimyakimya muwabaini?
Hivi nikikuchafua jina kwa tuhuma za uongo utajisikiaje? ACHA UKASUKU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Ole Sabaya alitaja wamiliki wawili wa mabasi. Lim Safari na Machame kuwa ndio wahusika pamoja na wengine. Kulikua na haja ya kuwavunjia heshima kabla ya uchunguzi kufanyika? Kwa nn asingeacha jeshi la polisi lifanye kazi, watuhumiwa wapelekwe mahakamani, mashahidi wafanye yao, ndio watu watajwe sasa kuwa ndio wahalifu wa isue hiyo? (HAPA UNAGUNDUA KUWA LAKE LIMEZUNGUMZIWA KWA SABABU TAYARI ALITAJA WATU WANAOHUSIKA, KWA MAJINA YAO NA YA KAPUNI ZAO) Na zaidi akasema hana mashaka na taarifa hizo.

Leo Salum Hamdun (Kamanda wa polisi mkoa, anasema uchunguzi wa awali unaonesha hakuna swala kama hilo)

Mhandisi Ujenzi shirika la Reli, Mery Masawe nae anasema ujenzi unaendelea vizuri.

Ole Sabaya alikurupuka tu. Yeye pia anaweza kutuma watu wakafanye hayo aliyozungumzia. Kwa sababu tumezoea hawa viongozi wa staili ya KUTENGENEZA TATIZO, WANALITATUA TATIZO WALILOTENGENEZA NA MWISHO WAPATE UMAARUFU.

Mwisho nikuulize tu swali la kizushi mkuu

Hao wengine waliozungumzia swala hilo walitaja wahusika kwenye media?



Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu ni tag

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,

Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga

Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu

Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?

Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.

Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,

Dc @⁨🇲 🇭 🇪 🇩 🇨 🇸 🇦 🇧 🇦 🇾 🇦⁩ chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna akili fala ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wavuta bangi wa Magufuli. Huyu jamaa bangi kwake ni kama chakula!
 
Reli inafika hai? Kamanda Hamduni leo llikua na mkuu wa wilaya ya Moshi, Kippi warioba..kutolea ufafanuzi..Hilo dubwasha lenu liliropoka tu mambo ya wilaya nyingine wakati ndo kwanza ukarabati wa kufukua njia unaendelea Moshi..
Lumumba fc ni wa kuonea huruma wakati mwingine, yaani mtu kama johnthenaptist katika hali ya kawaida usingetegemea kutojua kuwa reli imeishia Moshi toka Same, lakini kajitokeza kama kichuchunge mdomo mbele kwa ujuaji utafikiri anajua kila kitu duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom