Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wanaomsakama Mbowe hupandishwa vyeo na Magufuli , mfano hai ni ByakanwaKama RPC ameshakanusha, nini kitakachofuata? Bwana Sabaya ataendelea kuachwa huru ili amsakame Mbowe mwingine? Je kuitwa Mbowe ni "abomination" kiasi ambacho unastahili kuwa "condemned"?
Je ni halali kutafuta utukufu wa duniani "at the expense of reputation" za watu ambao wamechukua muda mrefu kuzijenga? Je bwana Sabaya ana "Diplomatic Immunity???
Kujitutumua kama Kifutu. Hai kuna Matatizo Lukuki, Vijana hawana Ramani ya maisha. Wameishia kunywa Banana na kuvuta Bhangi. DC anashindwa kuwapa mbinu za kujikomboa anatafuta beef na wakaazi. Zao linaloeweka na soko lake wilayani DC ameshindwa kulisimamia Vijana wajiajiri. Daily Upinzani , Upinzani unashutumiwa kutoleta Maendeleo. Awape Basi yeye Maendeleo kuliko kujenga beef na Watu.Wapo wavuta Bangi wengine ni wastaarabu sana Mkuu huyu dogo labda anayo matatizo ya Akili ..
siku zote najua hauna kitu kichwani lakini sikudhani kama hamna hata za kuvukia barabara , kwani ulisikia TRC wakilalamika ?
Kwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,
Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga
Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu
Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?
Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.
Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,
Dc @β¨π² π πͺ π© π¨ πΈ π¦ π§ π¦ πΎ π¦β© chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi mwenye mamlaka inatakiwa atunze kauli zake 'a public figure has to keep his words'DC ana sources tofauti za info. Anaweza kuwa kapata info za kiintelijensia toka Usalama wa Taifa ambapo RPC hawezi jua.
Simtetei DC Ila naongeza nyama...
Labda aliwasingizia or May be not
Siyo kupanga ila eti wamehujumu miundombinu na kutoa amri wakamatwe matamko nyuma ya mikameraZa Sabaya si siasa. Ni mambo ya kitoto...!
Haiingii akilini kuwa wafanyabiashara wa mabasi wawili tu Tanzania nzima, tena kutoka Wilayani kwake wanapanga kuhujumu Shirika la Reli. Ina maana treni inaathiri tu wafanyabiashara wa Hai?
Kwasasa itakuwa ngumu kumeza maana vyombo vya habari vimesha sema wana kesi ya uhujumu uchumiHuyu anakurupuka na kubambikizia watu kesi. Hii inatokana na kukataliwa kwa maombi yake ya kutata hao wafanyabiashara wampe pesa. Ref. yule wa asante tours na lodge yake.
Kitakachofuatilia hapo ili kufunika kombe, huyo sabaya na genge lake la wahuni watatafuta namna ya kuhujumu hiyo miundo mbinu ili ionekane kuwa aliyoyasema ni kweli, pia atapandikiza watu waseme wao ndo waliotumwa na wafanya biashara hao wa mabasi kufanya huo uaribifu.
Hivi tafsiri ya hili neno lifuatalo la kimombo ni ipi 'business as usual'Hapaswi kuomba radhi bali anatakiwa awajibike au awajibishwe. Kiongozi anayesema uongo ambai unasababisha tahaluki kwa wananchi na udhalilishaji kwa watu wema hafai. Ni kanuni ya utawala bora. Lakini kama tunavyojua kwa sasa utawala bora ni adimu hakuna kitakachotokea.
Upo dunia ya ngpi?Yaani umeandika tu bila hata reference yoyoye, hayo umeyatoa kichwani au?
Lakini Kuna vilaza hawakukuelewaNilisema tangu juzi hili linawezekana kweli?mmiliki wa mabasi mfano machame awe na akili hiyo licha ya gari zake kua na sifa nzuri na jina zuri ktk biashara?nili doubt mapema kua hapa itakua ni kupakana matope tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapuuzi Sana kanadhani kanaweza ku distable wachaga kwa akili finyuKana ukabila kale kajamaa hiyo ndio motive yake.
Walifanyaje Hao TBC?Hata TBC wajitathimini kwa kuwa na mahojiano na wataalamu wa reli bila staha.
Acha akili finyu mkuu,Kwan huyo dc wa korogwe alitaja watu majina?Kwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,
Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga
Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu
Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?
Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.
Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,
Dc @β¨π² π πͺ π© π¨ πΈ π¦ π§ π¦ πΎ π¦β© chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu ni tagHuyu Ole Sabaya alitaja wamiliki wawili wa mabasi. Lim Safari na Machame kuwa ndio wahusika pamoja na wengine. Kulikua na haja ya kuwavunjia heshima kabla ya uchunguzi kufanyika? Kwa nn asingeacha jeshi la polisi lifanye kazi, watuhumiwa wapelekwe mahakamani, mashahidi wafanye yao, ndio watu watajwe sasa kuwa ndio wahalifu wa isue hiyo? (HAPA UNAGUNDUA KUWA LAKE LIMEZUNGUMZIWA KWA SABABU TAYARI ALITAJA WATU WANAOHUSIKA, KWA MAJINA YAO NA YA KAPUNI ZAO) Na zaidi akasema hana mashaka na taarifa hizo.
Leo Salum Hamdun (Kamanda wa polisi mkoa, anasema uchunguzi wa awali unaonesha hakuna swala kama hilo)
Mhandisi Ujenzi shirika la Reli, Mery Masawe nae anasema ujenzi unaendelea vizuri.
Ole Sabaya alikurupuka tu. Yeye pia anaweza kutuma watu wakafanye hayo aliyozungumzia. Kwa sababu tumezoea hawa viongozi wa staili ya KUTENGENEZA TATIZO, WANALITATUA TATIZO WALILOTENGENEZA NA MWISHO WAPATE UMAARUFU.
Mwisho nikuulize tu swali la kizushi mkuu
Hao wengine waliozungumzia swala hilo walitaja wahusika kwenye media?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja finyu,kwan RPC Hana acces na usalama wa Taifa? Hujui kuwa afisa usalama wa Taifa mkoa yupo chini ya RPC?DC ana sources tofauti za info. Anaweza kuwa kapata info za kiintelijensia toka Usalama wa Taifa ambapo RPC hawezi jua.
Simtetei DC Ila naongeza nyama...
Labda aliwasingizia or May be not
Huna akili fala wwKwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,
Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga
Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu
Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?
Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.
Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,
Dc @β¨π² π πͺ π© π¨ πΈ π¦ π§ π¦ πΎ π¦β© chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu na wewe tukujibu maana ni mvivu kufuatilia habari mkuu.Shirika la reli ndio lilitakiwa kutoa tamko sio RPC
Loh! Kweli wewe huna tofauti na makalio, mahojiano na uchunguzi wafanye Polisi tamko watoe Shirika LA reli?Shirika la reli ndio lilitakiwa kutoa tamko sio RPC
Lumumba fc ni wa kuonea huruma wakati mwingine, yaani mtu kama johnthenaptist katika hali ya kawaida usingetegemea kutojua kuwa reli imeishia Moshi toka Same, lakini kajitokeza kama kichuchunge mdomo mbele kwa ujuaji utafikiri anajua kila kitu duniani.Reli inafika hai? Kamanda Hamduni leo llikua na mkuu wa wilaya ya Moshi, Kippi warioba..kutolea ufafanuzi..Hilo dubwasha lenu liliropoka tu mambo ya wilaya nyingine wakati ndo kwanza ukarabati wa kufukua njia unaendelea Moshi..