Nia yao ni kuficha jina LA Ole Sabaya na tukio zima. Nimelalamikia hili kuwa naona yupo Mod mmoja special kwa ajili ya kuwalinda Makonda na wenzake hao kina Sabaya uzi umefutwa. Jee rushwa imevamia JF?Moderator kichwa cha habari kiwe RPC wa Kilimanjaro badala ya Hamdun , wengine wanaweza kudhani huyo hamdun labda ni msela tu kaamua kujitokeza jf , hii habari ni kubwa sana , sijawahi kuona DC muongo kwa kiwango cha hatari kama huyu kwa kadri ya kumbukumbu zangu
Wewe ni mtu usiye na upeo wowote!Kwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,
Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga
Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu
Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?
Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.
Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,
Dc @🇲 🇭 🇪 🇩 🇨 🇸 🇦 🇧 🇦 🇾 🇦 chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Pia soma > Hai: DC Sabaya aagiza wamiliki wa mabasi kukamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya Reli Dar-Moshi
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni
Namsubiri sabaya! Maana cjajua kilichoenderea hapo! Huyo jamaa sabaya alikamata kiwanda cha noti bandia Dar.
Awajibishwe hiyo dogo!Yaani umeandika tu bila hata reference yoyoye, hayo umeyatoa kichwani au?
Sasa kama unasubiri kujua ukweli unakataaje kuwa DC hakuwa mjinga? Sabaya ni mjinga completely, na ni kwa sababu ni DC wa Hai na ameonyesha anapambana na Mbowe kama hana ajili nzuri ndio kinalinda kibarua chake. Lakini ingekuwa wilaya nyingine tayari angesha pokonywa tonge kwa kuikosanisha jamii na serikali yao.Mkuu wa wilaya hakuwa mjinga kusema namna ile..labda aliyepaswa kuzungumza sio yeye.
Wakati sio ukuta kuna siku tutajua ukweli.
Mungu ailinde jf dhidi ya mamluki .Nia yao ni kuficha jina LA Ole Sabaya na tukio zima. Nimelalamikia hili kuwa naona yupo Mod mmoja special kwa ajili ya kuwalinda Makonda na wenzake hao kina Sabaya uzi umefutwa. Jee rushwa imevamia JF?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja finyu,kwan RPC Hana acces na usalama wa Taifa? Hujui kuwa afisa usalama wa Taifa mkoa yupo chini ya RPC?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio usalama huyo, bali ANAJIITA, Sabaya anapenda sana KIKI, huo mpango kautengeneza mwenyewe ili aonekane anachapa kazi, hakuna maana ya kuharibu miundombinu ya hai amabyo hata haijaanza kazi waache kuhujumu miundombinu ya reli iliyo tayarai kazini na amabyo ndio njia kuu kutoka Dar to Kilimanjaro, Reli kupita Hai ni ile ya kuunga Arusha, sasa ina maana kutoka Hai to Arusha kuna wafanyabiashara wengi na pesa ni ndefu kuliko kutoka Dar to Moshi? Sabaya ni bwege tu.
Du! Kaazi kwelikweliKama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Pia soma > Hai: DC Sabaya aagiza wamiliki wa mabasi kukamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya Reli Dar-Moshi
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni
Kama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Pia soma > Hai: DC Sabaya aagiza wamiliki wa mabasi kukamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya Reli Dar-Moshi
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni
[emoji1787]Sasa Ole sabaya kesho utakua mgeni wa nani kutaka kuwabambikia watu kwenye matatizo? jamaa huo ukuu wa wilaya una mwisho jaribu kufikiri kidogo nje ya box