Uchaguzi 2020 Salum Jecha Mwenyezi Mungu hataniwi, umelipwa kwa kadri ya matendo yako, sasa subiri makubwa zaidi

Uchaguzi 2020 Salum Jecha Mwenyezi Mungu hataniwi, umelipwa kwa kadri ya matendo yako, sasa subiri makubwa zaidi

tutaendelea kuwaumbua bila huruma
Hangaika na ya kwenu chadema Zanzibar hata wanachama hamna ya wazanzibari waachieni wenyewe nyie pambaneni na hali zenu.

Chadema kimekimbiwa Hadi mitandaoni mumemebaki watu msiozidi wanne ndio more active wewe ,salary slip , my son drink water na tindo.
 
Hangaija na ya kwenu chadema Zanzibar hata wanachama hamna ya wazanzibari waachieni wenyewe nyie pambaneneni na hali zenu

Chadema kimekimbiwa Hadi mitandaoni mumemebaki watu msiozidi wanne ndio more active wewe ,salary slip , my son drink water na tindo
Kwi Kwi Kwi
 
Lilisema "SIWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE SERIKALINI, NI KUJISHUSHA NA KUJIDHARAULISHA HUKO, CHEO CHANGU NI ZAIDI YA RAIS". Limesahau na sasa linakula matapishi yake.

Kwenye uchaguzi tutatumia "VIDEO CLIP YAKE KUFANYIA KAMPENI ZA KUMGARAGAZA MWENYEWE".
Pia alisema anayo ndoto ya kuona Misikiti ikigeuzwa Sunday Schools.
 
Hangaika na ya kwenu chadema Zanzibar hata wanachama hamna ya wazanzibari waachieni wenyewe nyie pambaneni na hali zenu.

Chadema kimekimbiwa Hadi mitandaoni mumemebaki watu msiozidi wanne ndio more active wewe ,salary slip , my son drink water na tindo.
We kaa unahesabu watu tuu huku chama chenu kinaaumbuliwa kwa ULAGHAI NA UONGO wake
 
Very strange
Jecha anawauma chadema kuliko hata wanzanibari wenyewe!!!

Nyuzi nyingi na comments nyingi humu za kumponda jecha Ni za watanzania bara sio wanzanibari Tena watanzania bara wenyewe wa chadema lakini wanzanibari Wala wako kimya

Chadema kwa umbeya na udandiaji mambo yasiyowahusu hawajambo
Zidumu fikra za mwenyekiti wa chama 💪🏾
 
Umemuelewa lkn mtoa mada?? Yaani wote walijadiliwa mmoja mmoja ispokuwa Jecha kwani lilipotajwa tu jiana lake moja kwa moja likatupwa kapuni bila hata Wajumbe kutia neno.

Duh, kachinjiwa baharini bila kuelekezwa kibra! Heri angekufa kwa corona.
 
Tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hajawahi kuwa na rafiki, ukatuona wajinga lakini taarifa za siri kutoka kwenye kikao cha CCM Zanzibar cha kuchuja wagombea wa urais wa Zanzibar, jina lako limekatwa kinyama bila hata kujadiliwa, wewe Jecha ndio mtu wa kwanza kufyekwa bila huruma.

Mwenyekiti wa kikao hicho kilichokuchinjia baharini ni yuleyule Shein uliyembeba kwa mbeleko ya chuma bila aibu wala soni, sasa subiri kudhalilika zaidi.

View attachment 1497856
Sheinkafanya jambo la busara na hata wasingemfyeka bado ungelalama.
Jeca hakupaswa cukua form
 
Back
Top Bottom