Hangaika na ya kwenu chadema Zanzibar hata wanachama hamna ya wazanzibari waachieni wenyewe nyie pambaneni na hali zenu.tutaendelea kuwaumbua bila huruma
Kwi Kwi KwiHangaija na ya kwenu chadema Zanzibar hata wanachama hamna ya wazanzibari waachieni wenyewe nyie pambaneneni na hali zenu
Chadema kimekimbiwa Hadi mitandaoni mumemebaki watu msiozidi wanne ndio more active wewe ,salary slip , my son drink water na tindo
Pia alisema anayo ndoto ya kuona Misikiti ikigeuzwa Sunday Schools.Lilisema "SIWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE SERIKALINI, NI KUJISHUSHA NA KUJIDHARAULISHA HUKO, CHEO CHANGU NI ZAIDI YA RAIS". Limesahau na sasa linakula matapishi yake.
Kwenye uchaguzi tutatumia "VIDEO CLIP YAKE KUFANYIA KAMPENI ZA KUMGARAGAZA MWENYEWE".
We kaa unahesabu watu tuu huku chama chenu kinaaumbuliwa kwa ULAGHAI NA UONGO wakeHangaika na ya kwenu chadema Zanzibar hata wanachama hamna ya wazanzibari waachieni wenyewe nyie pambaneni na hali zenu.
Chadema kimekimbiwa Hadi mitandaoni mumemebaki watu msiozidi wanne ndio more active wewe ,salary slip , my son drink water na tindo.
Wengine hawakuipigania CCM kiwango cha Jecha, kweli CCM shukran yenu ni mateke.Huna hoja kwani Ni jecha tu Aliekatwa mnakwama wapi Cha Domo?
Zidumu fikra za mwenyekiti wa chama 💪🏾Very strange
Jecha anawauma chadema kuliko hata wanzanibari wenyewe!!!
Nyuzi nyingi na comments nyingi humu za kumponda jecha Ni za watanzania bara sio wanzanibari Tena watanzania bara wenyewe wa chadema lakini wanzanibari Wala wako kimya
Chadema kwa umbeya na udandiaji mambo yasiyowahusu hawajambo
Siku nyingine uichambueWala sijaichambua , nimeileta kama nilivyoletewa tu kutoka kwa nzi wangu .
Umemuelewa lkn mtoa mada?? Yaani wote walijadiliwa mmoja mmoja ispokuwa Jecha kwani lilipotajwa tu jiana lake moja kwa moja likatupwa kapuni bila hata Wajumbe kutia neno.Huna hoja kwani Ni jecha tu Aliekatwa mnakwama wapi Cha Domo?
Umemuelewa lkn mtoa mada?? Yaani wote walijadiliwa mmoja mmoja ispokuwa Jecha kwani lilipotajwa tu jiana lake moja kwa moja likatupwa kapuni bila hata Wajumbe kutia neno.
Mkuu jiongeze basi hata kidogo usiwe kama jina lako.Sijategemea kama wewe una uwezo mdogo hivi wa kuchambus taarifa kwa kiasi hiki
Ndivyo ilivyokuwa Mkuu.Duh, kachinjiwa baharini bila kuelekezwa kibra!
Sheinkafanya jambo la busara na hata wasingemfyeka bado ungelalama.Tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hajawahi kuwa na rafiki, ukatuona wajinga lakini taarifa za siri kutoka kwenye kikao cha CCM Zanzibar cha kuchuja wagombea wa urais wa Zanzibar, jina lako limekatwa kinyama bila hata kujadiliwa, wewe Jecha ndio mtu wa kwanza kufyekwa bila huruma.
Mwenyekiti wa kikao hicho kilichokuchinjia baharini ni yuleyule Shein uliyembeba kwa mbeleko ya chuma bila aibu wala soni, sasa subiri kudhalilika zaidi.
View attachment 1497856
Kakate rufaa ukamrudishe Jecha kwenye kinyangarilo mzeeKwani tabia za Nyumbu huzijui?
Ng'ombe anachinjwa alipoelekeaDuh, kachinjiwa baharini bila kuelekezwa kibra! Heri angekufa kwa corona.
Halafu Jecha alikosa wadhamini, kila alikoenda walimkimbia! Chama changu kikishakutumia hakikutaki tena maana wewe ni sawa na ndomuWala sijaichambua , nimeileta kama nilivyoletewa tu kutoka kwa nzi wangu .
nafikiri sasa mwisho wa utapeli wake umewadia.
Jecha anaonekana sana kuliko wengine waliokatwa, kwakuwa alimbeba shein na kumpa haki asiyostahili.Huna hoja kwani Ni jecha tu Aliekatwa mnakwama wapi Cha Domo?
Ni kweli wakati wake umeshapita.Kwisha Habari yke
SIASA hainaga rafk wa Kweli ukitoka kwenye system
Ova