Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Una tofauti gani na huyo unayemuita mropokaji? Amekwambia akikamilisha kukusanya ushahidi ataleta. Kabla hajakamilisha UMESHAROPOKA kuwa ameropoka!!!!!!!
Hahahahaha......hata kichaa huwa hajijui kama yeye ni kichaa!!
Na Kwa nini aseme kabla hajakamilisha uchunguzi? Huo ndio upumbavu!!
 
Huna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.
 
Kawadanganye wanasaccos wa chadema ambao uwezo wao wa kufikiri ulishapungua sana!!
 
Waliomaliza Corona ni kina nani?
Mungu wa Tundu Lissu ndio Mungu wa corona ndio Mungu wa Watz...... Mungu anaipenda Tanzania kupitia kwa Tundu Lissu hili la corona limefata baadae
 
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.
Tuwakatae wasaliti na vibaraka wa mabeberu Chadema!
 
Najua anaisema BoT.. BoT haigharamii kampeni za CCM.. Yenyewe inatoa pesa na kuzipeleka NEC ili NEC iweze kulipia gharama za kuandaa uchaguzi.... Mwalimu atakuwaje makamu wa Rais iwapo ana upeo mdogo namna hii wa kushndwa kuchambua mambo rahisi namna hii?
 
Ukisoma michango ya watu kwenye hii mada lazima uamini kuna watu wanalipwa ili tu kujibu ujinga.
Inasikitisha sana Mkuu, yaani hizi elfu saba saba za polepole zimesababisha Vijana WAMEFYATUKA AKILI kabisa. So sad.
 

Attachments

  • Lumumba Buku 7.jpg
    Lumumba Buku 7.jpg
    20.8 KB · Views: 1
Lissu anawapoteza sana babadhi UA watanzania ,kampeni zikiisha Lissu anakimbia zake kwa mabeberu wake ,huyu hana pa kwenda eti naye kamwamini lissu kuwa mwaka huu lazima wachukue dola

CHADEMA wanapoteza muda wao kwa kuamini kuamini kuwa wanaweza itoa CCM madarakani,hizi ni ndoto za mchana kweupe,
 
Laana ya Mungu ikutandike wewe na kizazi chako chote , Amina
Tajiri, ndio maana wahenga walisema Mungu si Athumani. Yaani angetuachia mamlaka yake kwa dakika tu tungetandikana sana.
Hata hivyo yeye ni upendo na maandiko yanatuambia, “He is slow to anger....” Kwa kiswahili:
Mwenyezi Mungu ni mwenye rehema na huruma; ni mvumilivu na mwingi wa fadhili. Zaburi 103:8
 
Back
Top Bottom