econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Chadema miaka yote fomu za Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti zinapatikana.Angeweka angalizo kuwa form ya mwenyekiti na makamu hazipatikani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema miaka yote fomu za Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti zinapatikana.Angeweka angalizo kuwa form ya mwenyekiti na makamu hazipatikani
Heche, Lissu au Golugwa.Anamwachia nani?
Chadema miaka yote fomu za Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti zinapatikana.
Mtei - Bob Makani - Mbowe ( Kigoma)Na Miaka yote mwenyekiti ni yule yule
Nliwahi kuandika Uzi wa historia ya cdm kua ni ukoo nikapingwa kila konaMtei - Bob Makani - Mbowe ( Kigoma)
tutembee kifua mbereeNaibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salumu Mwalimu amewataka Wanachama wa CHADEMA wenye Uwezo, Nia na Karama ya Uongozi asisite kuchukua Fomu na kugombea Nafasi yoyote.
Mwalimu alikuwa anaendesha Seminar ya Chama huko Pemba.
Kumekucha!
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salumu Mwalimu amewataka Wanachama wa CHADEMA wenye Uwezo, Nia na Karama ya Uongozi asisite kuchukua Fomu na kugombea Nafasi yoyote.
Mwalimu alikuwa anaendesha Seminar ya Chama huko Pemba.
Kumekucha!
Na utawasikia wakisema "Sisi ni Chama cha Demokrasia"Na Miaka yote mwenyekiti ni yule yule
Chadema siyo ukoo bwasheeNliwahi kuandika Uzi wa historia ya cdm kua ni ukoo nikapingwa kila kona
Acha ujuaji wenyeviti wa CDM tangu mwanzo ni ukoo mmoja ,Kam si mwanaukoo huwezi pata uwenyekiti hata uhongeChadema siyo ukoo bwashee
Waasisi wa Chadema ni Tuntemeke Sanga, Ngaiza, Bob Makani, Ndesamburo, Mtei na Mwakitwange
Nitajie Chama ambacho wenyeviti siyo ndugu!Acha ujuaji wenyeviti wa CDM tangu mwanzo ni ukoo mmoja ,Kam si mwanaukoo huwezi pata uwenyekiti hata uhonge
Tundu LissuAnamwachia nani?
Naamini hivyo, fomu ya Mwenyekiti haipo kabisa, hata ikiwepo hakuna wa kuchukua.. Muulizeni Zitto, Sumaye wana majibuUnaweza kwenda usikute fomu ya nafasi ya M/Kiti 🤣🤣🤣 (kidding)
Wajumbe tulimchagua kutokana na imani tuliyokuwa nayo kwake. Na miaka yote alikuwa na washindani.Na Miaka yote mwenyekiti ni yule yule
🤣🤣🤣🤣🤣Unaweza kwenda usikute fomu ya nafasi ya M/Kiti 🤣🤣🤣 (kidding)