Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

Screenshot_20210607-213832_Facebook.jpg

 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
 
Mengine umeongezea wapi kasema hawana nia.Huyu anakosekana vipi kwenye tuhuma yeyeto.
Mwizi aliyeiibia serikali kupata ajira kwa vyeti feki
 
Back
Top Bottom