Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

View attachment 1811801
Wakati ukifika atakamatwa. Unadhani mama akiamua mmkamate mtakuja na hizi ngonjera au mnamzuga ili asitorokee kwao Burundi?
 
Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi lakini akawagawia kesho yake boss wa Takukuru akaenda hewani kukanusha kuwa hakushikwa na pesa matokeo yake atatumbuliwa sasa yupo tu anasoma magazeti, huu utetezi dhidi ya Bashite makonda ni utetezi haramu na wa kishetani na hii ya kumtetea Bashite itakuja kuwafanyia watu waombe kufanya maandamano ya amani
Kwanza kabisa sijamtetea Bashite, jua kusoma kwa ufahamu. Acha ungumbaru.

Nakwambia tu kwamba the established fact ni kwamba Bashite hakukamatwa.

Sasa unaweza kubisha, ni uhuru wako. Kama unavyoweza kubisha na kusema the earth is flat.

Pili, thibitisha Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi akawagawia TAKUKURU pesa.

Tuhuma nzito sana hizi kuzitoa kijumlajumla tu.

Tatizo mnataka sana mambo fulani yatokee, mpaka mkidanganywa na Kigogo hamuhakiki habari, mnafurahia tu hata kama mnadanganywa, kwa sababu ndigo mliyotaka yatokee.
 
Mwanamke ni mwanamke, she is going to do nothing substantial to this nation! CCM ni wale wale tu, muulize uchunguzi w BOT wa Jan March umeishia wapi? Sana sana she will opt kuteka watu ili kuwanyamazisha... atafanya yale yakle ya Jiwe...kuteka, kuua , kupoteza, kubambikia kesi etc etc.
 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
watu wengine hamnaga kazi za kufanya halafu mnalalamika hakuna hela badara ya kutafuta kazi mfanye mnakaa kumzungumzia makonda na diamond wenzenu washatusua maisha mnahangaika kuwashusha badara ya kuhangaika nanyie kupanda si ni uendawazimu wenu huo?fanyeni kazi
 
watu wengine hamnaga kazi za kufanya halafu mnalalamika hakuna hela badara ya kutafuta kazi mfanye mnakaa kumzungumzia makonda na diamond wenzenu washatusua maisha mnahangaika kuwashusha badara ya kuhangaika nanyie kupanda si ni uendawazimu wenu huo?fanyeni kazi
Hoja dhaifu sana hii!
 
watu wengine hamnaga kazi za kufanya halafu mnalalamika hakuna hela badara ya kutafuta kazi mfanye mnakaa kumzungumzia makonda na diamond wenzenu washatusua maisha mnahangaika kuwashusha badara ya kuhangaika nanyie kupanda si ni uendawazimu wenu huo?fanyeni kazi
Ukijiita boya utakuwa vipi na akili labda kama wwe ni house boy wake kumtetea muuaji huyo.
 
Ukijiita boya utakuwa vipi na akili labda kama wwe ni house boy wake kumtetea muuaji huyo.
kwataarifa yako wewe hujui kitu ni kama debe tupu makonda ni mtu jasiri sana kuwahi kutokeakatika vijana hapa bongo aliyoyafanya dar siyo yakubeza kinyangalika kama wewe huwezi kumuingia hata robo hayo mnayomfikiiraga wala hajawahi kuyafanya ni chuki zenu tu na mtabaki na chuki zenu tu
 
kwataarifa yako wewe hujui kitu ni kama debe tupu makonda ni mtu jasiri sana kuwahi kutokeakatika vijana hapa bongo aliyoyafanya dar siyo yakubeza kinyangalika kama wewe huwezi kumuingia hata robo hayo mnayomfikiiraga wala hajawahi kuyafanya ni chuki zenu tu na mtabaki na chuki zenu tu
Zaidi ya kiki kuwahadaa wanyonge nipe moja alilofanya likafanikiwa
 
Serikali inamuogopa Makonda
imuogope kwa lipi ?makonda hana skendo mnazozifikiria mmeishiwa sera na anayewaponzanichadema chama ambacho kila siku ni kupandikiza chukitu kwa watanzania halafu anaomba dola kutawala labda wakatawale inzi chooni
 
Mwanamke ni mwanamke, she is going to do nothing substantial to this nation! CCM ni wale wale tu, muulize uchunguzi w BOT wa Jan March umeishia wapi? Sana sana she will opt kuteka watu ili kuwanyamazisha... atafanya yale yakle ya Jiwe...kuteka, kuua , kupoteza, kubambikia kesi etc etc.
hapa nakupinga. huyu hatotumia method za jiwe sijui kuteka na kuua watu. she wants her record to be clean.
Maybe she is not aggressive kwenye mambo fulani. but she is not jiwe
 
Hoja dhaifu sana hii!
siyo hojadhaifu mtu akifanyamema lazima mumpe sifa zake kila siku mmepandikiziwa na kina lema walioolewa ulaya kuwa makonda mtekaji sijui kafanya hivi ujinga mtupu hivi mtu na akili zako unaweza kumsikilizamtu kama lema kakimbilia kuolewa halafu akupemawazo eti makonda mbaya?
 
Back
Top Bottom