Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nitake radhi. Yani umenishusha hivyo?nlidhan na wewe uko kwenye network ya bwana yule, saaahv taarifa za ndan zmekauka
Unaniangalia kwa woga nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitake radhi. Yani umenishusha hivyo?nlidhan na wewe uko kwenye network ya bwana yule, saaahv taarifa za ndan zmekauka
Wakati ukifika atakamatwa. Unadhani mama akiamua mmkamate mtakuja na hizi ngonjera au mnamzuga ili asitorokee kwao Burundi?Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
View attachment 1811801
Kwanza kabisa sijamtetea Bashite, jua kusoma kwa ufahamu. Acha ungumbaru.Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi lakini akawagawia kesho yake boss wa Takukuru akaenda hewani kukanusha kuwa hakushikwa na pesa matokeo yake atatumbuliwa sasa yupo tu anasoma magazeti, huu utetezi dhidi ya Bashite makonda ni utetezi haramu na wa kishetani na hii ya kumtetea Bashite itakuja kuwafanyia watu waombe kufanya maandamano ya amani
Unajua kuchamba dada.Team SACCOS limewashuka shuu habari mpelekeeni Kigogo, haya endeleeni kupiga ramli zenu.
Sheria za Mungu ndivyo usema sio Mimi.Wewe ni MUNGU?
Sina uovu naishi kwa kufuata sheria na kanuni za kuishi na watu duniani.Pole kama uzijuiKwako karma anafika lini!?
watu wengine hamnaga kazi za kufanya halafu mnalalamika hakuna hela badara ya kutafuta kazi mfanye mnakaa kumzungumzia makonda na diamond wenzenu washatusua maisha mnahangaika kuwashusha badara ya kuhangaika nanyie kupanda si ni uendawazimu wenu huo?fanyeni kaziNi ile ile!
Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.
Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.
Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
chadema ni kituko tu hakuna mtu mwenye akili timamu akakaa eti anafanyia kazi maujinga ya chadema neverSerikali haifanyi kazi kwa kuagizwa na chadema
Hoja dhaifu sana hii!watu wengine hamnaga kazi za kufanya halafu mnalalamika hakuna hela badara ya kutafuta kazi mfanye mnakaa kumzungumzia makonda na diamond wenzenu washatusua maisha mnahangaika kuwashusha badara ya kuhangaika nanyie kupanda si ni uendawazimu wenu huo?fanyeni kazi
Serikali inamuogopa Makondachadema ni kituko tu hakuna mtu mwenye akili timamu akakaa eti anafanyia kazi maujinga ya chadema never
Ukijiita boya utakuwa vipi na akili labda kama wwe ni house boy wake kumtetea muuaji huyo.watu wengine hamnaga kazi za kufanya halafu mnalalamika hakuna hela badara ya kutafuta kazi mfanye mnakaa kumzungumzia makonda na diamond wenzenu washatusua maisha mnahangaika kuwashusha badara ya kuhangaika nanyie kupanda si ni uendawazimu wenu huo?fanyeni kazi
kwataarifa yako wewe hujui kitu ni kama debe tupu makonda ni mtu jasiri sana kuwahi kutokeakatika vijana hapa bongo aliyoyafanya dar siyo yakubeza kinyangalika kama wewe huwezi kumuingia hata robo hayo mnayomfikiiraga wala hajawahi kuyafanya ni chuki zenu tu na mtabaki na chuki zenu tuUkijiita boya utakuwa vipi na akili labda kama wwe ni house boy wake kumtetea muuaji huyo.
Zaidi ya kiki kuwahadaa wanyonge nipe moja alilofanya likafanikiwakwataarifa yako wewe hujui kitu ni kama debe tupu makonda ni mtu jasiri sana kuwahi kutokeakatika vijana hapa bongo aliyoyafanya dar siyo yakubeza kinyangalika kama wewe huwezi kumuingia hata robo hayo mnayomfikiiraga wala hajawahi kuyafanya ni chuki zenu tu na mtabaki na chuki zenu tu
imuogope kwa lipi ?makonda hana skendo mnazozifikiria mmeishiwa sera na anayewaponzanichadema chama ambacho kila siku ni kupandikiza chukitu kwa watanzania halafu anaomba dola kutawala labda wakatawale inzi chooniSerikali inamuogopa Makonda
mateja yaliyokuwapo kipindi kile ni sawa na idadi iliyopo sasa? au ulitaka mpaka watotowakowawe mateja?acheni uchadema wenu maana ndiyo chama cha chuki hapa tzZaidi ya kiki kuwahadaa wanyonge nipe moja alilofanya likafanikiwa
hapa nakupinga. huyu hatotumia method za jiwe sijui kuteka na kuua watu. she wants her record to be clean.Mwanamke ni mwanamke, she is going to do nothing substantial to this nation! CCM ni wale wale tu, muulize uchunguzi w BOT wa Jan March umeishia wapi? Sana sana she will opt kuteka watu ili kuwanyamazisha... atafanya yale yakle ya Jiwe...kuteka, kuua , kupoteza, kubambikia kesi etc etc.
siyo hojadhaifu mtu akifanyamema lazima mumpe sifa zake kila siku mmepandikiziwa na kina lema walioolewa ulaya kuwa makonda mtekaji sijui kafanya hivi ujinga mtupu hivi mtu na akili zako unaweza kumsikilizamtu kama lema kakimbilia kuolewa halafu akupemawazo eti makonda mbaya?Hoja dhaifu sana hii!