Tafuta Kazi halali usiishi kwa upambe,njoo tukufundishe biashara ya madini uwe milionea nchi imejaa mali KILA sehemu utajirike usitegemee uhalifu kuishi.kama wewe hukuwa na huzuniwacha tulie sisi tuliyekuwa tunampenda wewekamlilieshoga yenu anaye gawa huko ubergiji
Tafuta Kazi zingine usife njaa huyo arudi leo wala kesho miaka 6 kwanza ndani akisubiria ushahidi kukamilika,kituo kinachofata bashite musiba.