Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

kama wewe hukuwa na huzuniwacha tulie sisi tuliyekuwa tunampenda wewekamlilieshoga yenu anaye gawa huko ubergiji
Tafuta Kazi halali usiishi kwa upambe,njoo tukufundishe biashara ya madini uwe milionea nchi imejaa mali KILA sehemu utajirike usitegemee uhalifu kuishi.

Tafuta Kazi zingine usife njaa huyo arudi leo wala kesho miaka 6 kwanza ndani akisubiria ushahidi kukamilika,kituo kinachofata bashite musiba.
 
sasa hivi mnamuona shetani angalieni aliyoyafanya kwa muda mfupi halafu piteni kimya hamna haja ya kuropoka kama mmeingiziwa vidole huko nyuma
Yalimfaidisha yeye binafsi,asante Mungu ametuokoa kutumbukia shimoni.
 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
Upo right sn
 
Tafuta Kazi halali usiishi kwa upambe,njoo tukufundishe biashara ya madini uwe milionea nchi imejaa mali KILA sehemu utajirike usitegemee uhalifu kuishi.
Tafuta Kazi zingine usife njaa huyo arudi leo wala kesho miaka 6 kwanza ndani akisubiria ushahidi kukamilika,kituo kinachofata bashite musiba.
Hawa ni wauza ganda wazuri
 
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

View attachment 1811801
Nia haipo kwa sasa!! au ndio tayari amesafishwa na yajayo pia iwapo yatajitokeza?
 
Tafuta Kazi halali usiishi kwa upambe,njoo tukufundishe biashara ya madini uwe milionea nchi imejaa mali KILA sehemu utajirike usitegemee uhalifu kuishi.
Tafuta Kazi zingine usife njaa huyo arudi leo wala kesho miaka 6 kwanza ndani akisubiria ushahidi kukamilika,kituo kinachofata bashite musiba.
njaa tu izinakusumbueni na mtakesha mkiombea mabaya hayatatokea mwanaume mzima unakuwa kama lema aliyeolewa kutwa kucha kuombea mabaya wenzie au na wewe umeolewa maana mwanaume akiolewa lazima awe mmbeya
 
Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi lakini akawagawia kesho yake boss wa Takukuru akaenda hewani kukanusha kuwa hakushikwa na pesa matokeo yake atatumbuliwa sasa yupo tu anasoma magazeti, huu utetezi dhidi ya Bashite makonda ni utetezi haramu na wa kishetani na hii ya kumtetea Bashite itakuja kuwafanyia watu waombe kufanya maandamano ya amani
Mkijua huyo bashite na mama samia wakoje basi mtatulia.
 
njaa tu izinakusumbueni na mtakesha mkiombea mabaya hayatatokea mwanaume mzima unakuwa kama lema aliyeolewa kutwa kucha kuombea mabaya wenzie au na wewe umeolewa maana mwanaume akiolewa lazima awe mmbeya
Sio njaa Ni laws of nature ajiandae tu kuvuna
 
hapa nakupinga. huyu hatotumia method za jiwe sijui kuteka na kuua watu. she wants her record to be clean.
Maybe she is not aggressive kwenye mambo fulani. but she is not jiwe
Uko sahihi, lakini Sasa anapoficha maovu kama ya akina Makonda, ya BoT , huwezi kujua from here where will she head to!
 
Uko sahihi, lakini Sasa anapoficha maovu kama ya akina Makonda, ya BoT , huwezi kujua from here where will she head to!
wewe unaushahidi kuwa hao wanamakosa? hawaoni makosa yao ndiyo maana hawahusishwi
 
Jinai haina ukomo Mama ni mpita njia siku zaja.Siti ya daladala ainaga mwenyewe
hahahaaa kwahiyo napiga picha siku tobo ndyo kawa mkulu miaka mitano kesi kila siku kukomoa atauwa mpaka sisimizi
 
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

View attachment 1811801
@Etwege ,wewe ni nani? Mbona ni mtetezi mkubwa wa haya majambazi wawili (Sabaya na Makonda)!? Una maslahi nao!?
Makonda hamna haja ya kuhangaika naye. Yupo njia moja kumfuata mkubwa wake wa ujambazi.
 
Back
Top Bottom