Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
- Thread starter
- #121
Wewe ni mke wa Ally Hemed?Hiyo Lexus ilikuwa mali ya Ally Hemed mmiliki wa kampuni ya Nas Haulies!alimnyang'anya na baada ya Ally kugoma kumpa kadi akampa kesi ya madawa na kumuweka kituoni. Baada ya mwanae aitwaye Bahman kupeleka kadi ndio akaachiwa!Namba halisi ya hiyo Lexus ni T500 DAR na Benz T666