Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Unajuaje nani atakuwa rais ajaye na kwamba hatakuwa sehemu ya JPM na hata akiwa si sehemu ya JPM atakuwa na appetite ya kufukua makaburi?
Makonda Ana mizizi migumu Awamu ya tano ba sita.

Akiingia mtu asiyejiona ana deni na awamu Hizo mbili ndio ataweza kufukua makaburi.
 
Acha kumlisha maneno Salumu Hamduni , wapi ametamka Makonda mchapa kazi , wapi ametamka alipigana Vita ya madawa ya kulevya , Pimbi kweli wewe , Makonda alipigana vita ya madawa ya kulevya au alipora mali za wafanyabiashara akiwasingizia wanafanya biashara ya madawa , kapora magari ya watu ,hela n.k.
 
Acha kumlisha maneno Salumu Hamduni , wapi ametamka Makonda mchapa kazi , wapi ametamka alipigana Vita ya madawa ya kulevya , Pimbi kweli wewe , Makonda alipigana vita ya madawa ya kulevya au alipora mali za wafanyabiashara akiwasingizia wanafanya biashara ya madawa , kapora magari ya watu ,hela n.k.
Alikupora shs ngapi?
 
Makonda alimsifia Mama kwamba anafaa kuwa makamu wa rais na ujumbe ule ukamfikia hayati JPM na akaufanyia kazi.

Haipo namna Makonda anaweza kufanywa chochote awamu hii. Siku Mama akiondoka ikulu ndio dogo anaweza kushtakiwa. Hayati, Mama na Makonda ni kitu kimoja.
Ashitakiwe kwa kumtaja mbowe kwenye madawa?
 
Makonda hajawahi kuendesha vita dhidi ya wauzaji wa madawa ya kulevya. Ila alitumia madawa ya kulevya kujipatia fedha, magari na vitu vingine vyenye thamani ya Mabilioni ya Shillingi.

Watu pekee aliowafikisha Mahakamani ni Yusuf Manji na Wema Sepetu ambao walishtakiwa kwa kutumia heroine na bangi na siyo kuuza.

Nitajie wewe ni nani mfanya biashara wa madawa aliyeshiyakiwa na Makonda halafu nitakujibu.
Ulitaka mbowe ashitakiwe?
 
Mwanamke ni mwanamke, she is going to do nothing substantial to this nation! CCM ni wale wale tu, muulize uchunguzi w BOT wa Jan March umeishia wapi? Sana sana she will opt kuteka watu ili kuwanyamazisha... atafanya yale yakle ya Jiwe...kuteka, kuua , kupoteza, kubambikia kesi etc etc.
I can assure you ni swala la muda bashite lazima akamatwe, watawala watake wasitake. Serikali hii inayofanya kazi kwa mashinikizo haiwezi kuhimili shinikizo la kutaka bashite akamatwe na kushtakiwa.
 
Sipati picha siku lile sambwanda litakavyogombewa huko lupango
Maneno yako yasiyokuwa na tija hayakusadii na huenda hata Makonda hajakufanyia ubaya wowote kazi ni kushangilia tu mabaya yawapate watu ili kufarahisha nafsi yako.Usimshambulie mtu kwa kuwa anamapungufu ya kimwili hapa leta hoja zenye nguvu kama mtanzania.
 
Uvumi unakanushwa, sifa anapewa Makonda za mzalendo safi. Lakini ukweli kwa jamii inayomjua huyo mtu ni kinyume na sifa hizo. Ana ukwasi asio weza utetea, na wanajua chimbuko la ukwasi huo na ndio sababu ya kumnyoshea kidole.
Mkuu fanya kazi achana na maneno ya kuambiwa, UKWASI UKWASI ndo nini? ulitaka aishi maisha ya kimaskini? ungemsema tena kuwa hana akili binadamu hamna jema.
 
Maneno yako yasiyokuwa na tija hayakusadii na huenda hata Makonda hajakufanyia ubaya wowote kazi ni kushangilia tu mabaya yawapate watu ili kufarahisha nafsi yako.Usimshambulie mtu kwa kuwa anamapungufu ya kimwili hapa leta hoja zenye nguvu kama mtanzania.
Tangu lini nyumbu wakawa na hoja
 
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

Naomba muongozo katika sentensi hiyo niliyoifanyia bold na kuiongezea font size, tafadhali. Dar mateja na wauza madawa ya kulevya waliisha lini jamani?
 
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

Hata hivyo mama samia hawezi kukubali
 
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

Makonda analiwa Timing hapo ajiachie tuu watu wanakusanya ushahidi!
 
Maneno yako yasiyokuwa na tija hayakusadii na huenda hata Makonda hajakufanyia ubaya wowote kazi ni kushangilia tu mabaya yawapate watu ili kufarahisha nafsi yako.Usimshambulie mtu kwa kuwa anamapungufu ya kimwili hapa leta hoja zenye nguvu kama mtanzania.
Kwani na wewe unalo sambwanda kama la huyo nyamitako?
 
Back
Top Bottom