OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Takukuru mnamsafishaje mtu bila kimchunguza? mmepata wapi ujasiri wa kusema Bashite ni kijana safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata miaka michache inaweza kuwa nafaida kuliko mingi, inategemea umeishijeIshi miaka mingi uhushudie ukuu wa Mungu
Lakini KILA mtu uvuna alichopandaAta miaka michache inaweza kuwa nafaida kuliko mingi, inategemea umeishije
MUNGU ndio hakimu na mjuzi wa kila kitu, sio mpiga domo yeyoteLakini KILA mtu uvuna alichopanda
Suala sio kuagizwa na Hao Chadema..tendeni wema..msionee watuSerikali haifanyi kazi kwa kuagizwa na chadema
We jamaa ni liongo hakuna mfano, hayo maneno kuwa Makonda ni "kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo" Hamduni ameyasemea wapi?Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Aliweka kanuni za asili ukizikiuka ni lzm zikuadhibuMUNGU ndio hakimu na mjuzi wa kila kitu, sio mpiga domo yeyote
Utakuwa wa kwanza kwenda hiyo jelaUshauri ukiwa kiongozi boresha maisha ya jela Ili kesho ukienda kukufae.
Bashite angeboresha magereza ya dar asingepata tabu akiwa huko ukifika wakati.
Maandiko hayo hayo ya nasema hakuna aliemsafi, ndio maana wenzako walishindwa kumpiga mawe mwanamke mzinifu, ndio maana kazi hiyo muachie MUNGU hukumuAliweka kanuni za asili ukizikiuka ni lzm zikuadhibu
Bashite yupo?Ushauri ukiwa kiongozi boresha maisha ya jela Ili kesho ukienda kukufae.
Bashite angeboresha magereza ya dar asingepata tabu akiwa huko ukifika wakati.
Hayo hayo usema auawe kwa upanga atakufa kwa upanga.Maandiko hayo hayo ya nasema hakuna aliemsafi, ndio maana wenzako walishindwa kumpiga mawe mwanamke mzinifu, ndio maana kazi hiyo muachie MUNGU hukumu
Hayo hayo ya nasema hakuna dhambi isiyo samehewa,ndio maana Paulo aliua wewe lakini mwisho Yesu akampa kazi ya kutangaza neno lakeHayo hayo usema auawe kwa upanga atakufa kwa upanga.
Aliuwa kabla ajawa MkristoHayo hayo ya nasema hakuna dhambi isiyo samehewa,ndio maana Paulo aliua wewe lakini mwisho Yesu akampa kazi ya kutangaza neno lake
Ata wahayudi waliona ishara nzito za MUNGU, lakini waliendelea kuabudu masanamu, lakin MUNGU aliendelea kuwapa nafasi mara nyingi zaidi, kwa MUNGU mambo ni mepesi sasa itakuwa huyu MakondaAliuwa kabla ajawa Mkristo
Hata mpiga push alipewa nafasi ya kutubu akashupaza shingo ikiwemo kumlipa veronica france azidi kuwatukana na kuwakashifu viongozi wa diniAta wahayudi waliona ishara nzito za MUNGU, lakini waliendelea kuabudu masanamu, lakin MUNGU aliendelea kuwapa nafasi mara nyingi zaidi, kwa MUNGU mambo ni mepesi sasa itakuwa huyu Makonda
Mpiga Push sio Makonda, halafu hizo ni tuhuma zakoHata mpiga push alipewa nafasi ya kutubu akashupaza shingo ikiwemo kumlipa veronica france azidi kuwatukana na kuwakashifu viongozi wa dini