Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Slaa hakuondoka chadema bali alitoroshwa baada ya kununuliwa
Kuonda bila shinikizo bila ushawishi bila kupewa hongo ni tofauti na kuondoka mwenyewe kwa moyo wako hivyo tafasri ya kuondoka haipo kwa Dr Slaa lakini endapo unataka kuondoka wewe binafsi kwako ama popote ni tofauti na ondoka ya Dr slaa ambayo ni ondoka ya magumashi, kuondoka kwake hakufai tusipoteze mda kufafanua nini maana ya kuondoka wakati Dr slaa hakuondoka bali alitoroshwa kwenda CanadaNimekuuliza, “Nini definition yako ya neno kuondoka?”
Komaa na mada je? ni sahihi Bashite kuendelea kutetewa na Takukuru pasipo kumhoji wala kumfanyia uchaguzi wa kiina na uwazi? au na wewe unatetea maovu manyanyaso uonevu wa Bashite kwa watanzania wengiNimekuuliza, “Nini definition yako ya neno kuondoka?”
Bashite alikuibia shs ngapiKomaa na mada je? ni sahihi Bashite kuendelea kutetewa na Takukuru pasipo kumhoji wala kumfanyia uchaguzi wa kiina na uwazi? au na wewe unatetea maovu manyanyaso uonevu wa Bashite kwa watanzania wengi
Natamani niseme kwa jina la JMT, juu ya uhuru wa mitandaoni, sasa basi.Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
Mtume Paul sio bashite,mpiga push up kiburi kaburi.Mpiga Push sio Makonda, halafu hizo ni tuhuma zako
Mali alizonazo kapataje haziendani na kipato chakeBashite alikuibia shs ngapi
Ndiyo hivyo mkuuHapa umenena ukweli kiasi
Wewe ndo unaakili timamu? Peleka ushahidi basi akamatwe.Umebaki kuropoka tu humu,umejaa wivu na ushirikina tu.Kukataa ya Lema ambayo wengi wanayajua lakini kwa kuwa siyo wanasiasa hawana pa kusemea ndiyo yakufanye wewe ujione una Akili? Kutetea uonevu uovu mateso manyanyaso ya makonda Bashite ndiyo kukosa Akili hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atapenda kuona Bashite anakuwa huru pasipo uchunguzi mkubwa makini wa haki, kumtangaza Bashite kuwa ni malaika msafi ni kuichafua taasisi hiyo ya umma
Baraka na msamaha wa MUNGU hauchagui mtu, akiamua ameamua anakupa tu, ndio maana Ata Paulo alikuwa muuaji mkubwa lakini MUNGU alimpa baraka zake, hivyo usilazimishe MUNGU afanye utakachoMtume Paul sio bashite,mpiga push up kiburi kaburi.
Madaraka hayamfai mtu mshamba atalewa
R.I.P Magufuli
Wewe ni mke wake hadi ujue kipato chake?Mali alizonazo kapataje haziendani na kipato chake
Watumishi wa umma vipato vyao ujulikanaWewe ni mke wake hadi ujue kipato chake?
Mpeleke mahakamaniWatumishi wa umma vipato vyao ujulikana
Paulo alilipia makosa yake kwa kufanya Kazi ya Mungu kuliko mitume wote,ndie aliyefungua makanisa mengi Sana ulimwenguni.Baraka na msamaha wa MUNGU hauchagui mtu, akiamua ameamua anakupa tu, ndio maana Ata Paulo alikuwa muuaji mkubwa lakini MUNGU alimpa baraka zake, hivyo usilazimishe MUNGU afanye utakacho
Jinai haina ukomoMpeleke mahakamani
[emoji106][emoji106][emoji106]We jamaa ni liongo hakuna mfano, hayo maneno kuwa Makonda ni "kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo" Hamduni ameyasemea wapi?
Nyumbani kwako? Tabia hii ya uongo ni aibu sana kwa mtu mzima, unless uwe huna akili timamu!