Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Hivi mpaka sasa hivi agenda kuu ya chadema ni nini?
Aliondoka nayo Dr. Slaa![emoji19]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mpaka sasa hivi agenda kuu ya chadema ni nini?
Makosa ya Bashite yanahitaji kuagizwa na chadema?Serikali haifanyi kazi kwa kuagizwa na chadema
Slaa hakuondoka bali alinunuliwa akasariti hana mfano wa kuigwa kwani ni msaritiAliondoka nayo Dr. Slaa![emoji19]
Network ndefu ipi? Labda awe na network ndefu ya kutembeza Rushwa kwani Rushwa ni adui wa haki na Bashite akitoa Rushwa atazuia haki kutendekaNilisema hapa mnauziwa matango pori na Kigogo, Makonda ana network ndefu.
Slaa hakuondoka bali alinunuliwa akasariti hana mfano wa kuigwa kwani ni msariti
Wewe ndiyo hudanganywa na kigogo lakini wengine husoma ya kigogo tu na kuendelea na njia zao zingine za kiuchunguzi kwa zipo tuhuma nyingi dhidi ya Bashite makonda ikiwemo utekaji wa msanii Roma, MO, kwenda Dodoma na wasiojulikana kumpiga risasi Tundu lisu na uonevu uovu mwingineo mwingi kwa wakosoaji wa mwendazakeKwanza kabisa sijamtetea Bashite, jua kusoma kwa ufahamu. Acha ungumbaru.
Nakwambia tu kwamba the established fact ni kwamba Bashite hakukamatwa.
Sasa unaweza kubisha, ni uhuru wako. Kama unavyoweza kubisha na kusema the earth is flat.
Pili, thibitisha Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi akawagawia TAKUKURU pesa.
Tuhuma nzito sana hizi kuzitoa kijumlajumla tu.
Tatizo mnataka sana mambo fulani yatokee, mpaka mkidanganywa na Kigogo hamuhakiki habari, mnafurahia tu hata kama mnadanganywa, kwa sababu ndigo mliyotaka yatokee.
Kuondoka na kutoroka ama kuingia mitini kisa ushawishi ni vitu viwili tofautiNini definition yako ya neno kuondoka?
Kukataa ya Lema ambayo wengi wanayajua lakini kwa kuwa siyo wanasiasa hawana pa kusemea ndiyo yakufanye wewe ujione una Akili? Kutetea uonevu uovu mateso manyanyaso ya makonda Bashite ndiyo kukosa Akili hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atapenda kuona Bashite anakuwa huru pasipo uchunguzi mkubwa makini wa haki, kumtangaza Bashite kuwa ni malaika msafi ni kuichafua taasisi hiyo ya ummasiyo hojadhaifu mtu akifanyamema lazima mumpe sifa zake kila siku mmepandikiziwa na kina lema walioolewa ulaya kuwa makonda mtekaji sijui kafanya hivi ujinga mtupu hivi mtu na akili zako unaweza kumsikilizamtu kama lema kakimbilia kuolewa halafu akupemawazo eti makonda mbaya?
Hapa umenena ukweli kiasiMaza hawezi kumgusa Makonda sababu ana siri zote za dikteta
Kuondoka na kutoroka ama kuingia mitini kisa ushawishi ni vitu viwili tofauti
Taasisi itakuja kudhalilika zaidi endapo itaendelea kumsafisha Daudi Bashite makonda kwa njia haramu za kishetani, wanasahau kuwa idadi kubwa ya watanzania wanajua ukweli juu ya tuhuma za Bashite kwa ujumla na uwaziHata kama ana makosa ni kufichiana makosa basi km ni hivo tuna kundi la wahuni wala sio viongozi wanao fuata sheria
Dr Slaa hakuondoka chadema bali alitoroshwa baada ya kununuliwaJibu swali nililokuuliza!
Bashite amefanya unyama unyanyasaji uonevu uovu mwingi sana yeyote anayejitokeza kumtetea Bashite lazima atakuwa hamuogopi mwenyezi munguHiyo Lexus ilikuwa mali ya Ally Hemed mmiliki wa kampuni ya Nas Haulies!alimnyang'anya na baada ya Ally kugoma kumpa kadi akampa kesi ya madawa na kumuweka kituoni. Baada ya mwanae aitwaye Bahman kupeleka kadi ndio akaachiwa!Namba halisi ya hiyo Lexus ni T500 DAR na Benz T666
Endapo Takukuru wataendelea kumtetea Daud Bashite watambue kuwa watakuwa wanatenda kubwa kwa watanzania kwani idadi kubwa ya watanzania wanaujua ukweli kuwa Bashite anazo tuhuma nyingi za kujibu alipaswa awe jela mda huu endapo haki ingekuwa inatendeka kwa usawaTakukuru, huyu makonda ana mikono michafu inayonuka ile 'kitu ya uzima wa milele'.Dhambi
Ni mtu ambae ameumiza wengi kwa kisingizio cha madawa ya kulevya au Bereau de change.
Amenyanyasa wengi na kuwaonea watu wasio na hatia, asulubiwe asulubiwe!
Bashite akifikishwa mahakamani itakuwa ni sikukuu kubwa mno kwa wapenda haki Duniani kote siyo Tanzania pekeeSipati picha siku lile sambwanda litakavyogombewa huko lupango
Wakifanya hivyo watajijengea heshima kubwa tokea kwa watanzania woteMakonda analiwa Timing hapo ajiachie tuu watu wanakusanya ushahidi!
Hapo ndipo Takukuru wanaenda kujichafua kupita kiasiTakukuru mnamsafishaje mtu bila kimchunguza? mmepata wapi ujasiri wa kusema Bashite ni kijana safi
Takukuru kumtetea Bashite makonda ni kujidhalilisha sana hawapaswi kufanya hilo kwa mtu kama Bashite ambaye tuhuma zake nyingi zipo wazi bila kifichoHawa TAKUKUKURU si wakae kimya tu? kuja kujibujibu kila tuhuma za mitandaoni sio matumizi mazuri ya muda na kodi zetu. Makonda mwenyewe angetosha kuwaambia watu kwamba hajakamatwa