Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Hawa TAKUKUKURU si wakae kimya tu? kuja kujibujibu kila tuhuma za mitandaoni sio matumizi mazuri ya muda na kodi zetu. Makonda mwenyewe angetosha kuwaambia watu kwamba hajakamatwa
 
Nilisema hapa mnauziwa matango pori na Kigogo, Makonda ana network ndefu.
Network ndefu ipi? Labda awe na network ndefu ya kutembeza Rushwa kwani Rushwa ni adui wa haki na Bashite akitoa Rushwa atazuia haki kutendeka
 
Kwanza kabisa sijamtetea Bashite, jua kusoma kwa ufahamu. Acha ungumbaru.

Nakwambia tu kwamba the established fact ni kwamba Bashite hakukamatwa.

Sasa unaweza kubisha, ni uhuru wako. Kama unavyoweza kubisha na kusema the earth is flat.

Pili, thibitisha Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi akawagawia TAKUKURU pesa.

Tuhuma nzito sana hizi kuzitoa kijumlajumla tu.

Tatizo mnataka sana mambo fulani yatokee, mpaka mkidanganywa na Kigogo hamuhakiki habari, mnafurahia tu hata kama mnadanganywa, kwa sababu ndigo mliyotaka yatokee.
Wewe ndiyo hudanganywa na kigogo lakini wengine husoma ya kigogo tu na kuendelea na njia zao zingine za kiuchunguzi kwa zipo tuhuma nyingi dhidi ya Bashite makonda ikiwemo utekaji wa msanii Roma, MO, kwenda Dodoma na wasiojulikana kumpiga risasi Tundu lisu na uonevu uovu mwingineo mwingi kwa wakosoaji wa mwendazake
 
siyo hojadhaifu mtu akifanyamema lazima mumpe sifa zake kila siku mmepandikiziwa na kina lema walioolewa ulaya kuwa makonda mtekaji sijui kafanya hivi ujinga mtupu hivi mtu na akili zako unaweza kumsikilizamtu kama lema kakimbilia kuolewa halafu akupemawazo eti makonda mbaya?
Kukataa ya Lema ambayo wengi wanayajua lakini kwa kuwa siyo wanasiasa hawana pa kusemea ndiyo yakufanye wewe ujione una Akili? Kutetea uonevu uovu mateso manyanyaso ya makonda Bashite ndiyo kukosa Akili hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atapenda kuona Bashite anakuwa huru pasipo uchunguzi mkubwa makini wa haki, kumtangaza Bashite kuwa ni malaika msafi ni kuichafua taasisi hiyo ya umma
 
Hata kama ana makosa ni kufichiana makosa basi km ni hivo tuna kundi la wahuni wala sio viongozi wanao fuata sheria
Taasisi itakuja kudhalilika zaidi endapo itaendelea kumsafisha Daudi Bashite makonda kwa njia haramu za kishetani, wanasahau kuwa idadi kubwa ya watanzania wanajua ukweli juu ya tuhuma za Bashite kwa ujumla na uwazi
 
Hiyo Lexus ilikuwa mali ya Ally Hemed mmiliki wa kampuni ya Nas Haulies!alimnyang'anya na baada ya Ally kugoma kumpa kadi akampa kesi ya madawa na kumuweka kituoni. Baada ya mwanae aitwaye Bahman kupeleka kadi ndio akaachiwa!Namba halisi ya hiyo Lexus ni T500 DAR na Benz T666
Bashite amefanya unyama unyanyasaji uonevu uovu mwingi sana yeyote anayejitokeza kumtetea Bashite lazima atakuwa hamuogopi mwenyezi mungu
 
Takukuru, huyu makonda ana mikono michafu inayonuka ile 'kitu ya uzima wa milele'.Dhambi
Ni mtu ambae ameumiza wengi kwa kisingizio cha madawa ya kulevya au Bereau de change.
Amenyanyasa wengi na kuwaonea watu wasio na hatia, asulubiwe asulubiwe!
Endapo Takukuru wataendelea kumtetea Daud Bashite watambue kuwa watakuwa wanatenda kubwa kwa watanzania kwani idadi kubwa ya watanzania wanaujua ukweli kuwa Bashite anazo tuhuma nyingi za kujibu alipaswa awe jela mda huu endapo haki ingekuwa inatendeka kwa usawa
 
Hawa TAKUKUKURU si wakae kimya tu? kuja kujibujibu kila tuhuma za mitandaoni sio matumizi mazuri ya muda na kodi zetu. Makonda mwenyewe angetosha kuwaambia watu kwamba hajakamatwa
Takukuru kumtetea Bashite makonda ni kujidhalilisha sana hawapaswi kufanya hilo kwa mtu kama Bashite ambaye tuhuma zake nyingi zipo wazi bila kificho
 
Takukuru wajiepushe na utetezi dhidi ya Bashite kwani wataisababishia taasisi yao kukosa imani tokea kwa wananchi na Duniani kote mpaka America ambao waligoma kumpa viza na kumfungia kuingia kwao, Takukuru wakitaka taarifa za Bashite waombe hata FBI waliopo ubalozi wa America wanazo nyingi zaidi
 
Back
Top Bottom