JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
DuhSafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhSafi
Makonda bado yupo mjiniNi ile ile!
Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.
Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.
Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
Ipo siku yake inakuja lazima Nyamitako Bashite ataingia jela tu. Labda afe kabla Samia hajatoka madarakaniMakonda bado yupo mjini
Boss wa nani? Kwani mimi nimeajiriwa na CCM?Makonda ni boss wako sasa ndani ya ccm
MBONA HILO LINAJULIKANA?Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.
Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.
Siku yake inakuja najua kwanini saa hizi wanamuogopa maana wakimgusa kuna chain ya watu iko nyuma yataibuka mengi.Ni ile ile!
Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.
Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.
Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.