Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Umefanya assumption moja kubwa sana hapo.Makonda Ana mizizi migumu Awamu ya tano ba sita.
Akiingia mtu asiyejiona ana deni na awamu Hizo mbili ndio ataweza kufukua makaburi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya assumption moja kubwa sana hapo.Makonda Ana mizizi migumu Awamu ya tano ba sita.
Akiingia mtu asiyejiona ana deni na awamu Hizo mbili ndio ataweza kufukua makaburi.
Stand prepared to fall and die with him.We stand with makonda
hii ni kauli nzito sana. angeisoma na kuitafakar ingemsumbua sana. yan damu ya mtu! utatafuta kila sabab ya kuihalalisha lakin wap! wengine hugeuka vichaa hadi kudhaniwa wamerogwa. hakuna hukum mbaya kama ya rohoni!Hata wakilindwa but karma lazima izae nao tu. Alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho hana nuru tena amejaa hatia ya machozi na damu za watu zitatafuna hadi uzao wake
Cheza na vyoote lkn sio damu na machozi ya watu yanatafuna hadi kizazi we uchek baadhi ya familia viongozi azifananii ...chanzo ni mabaya wazazi wao waliowatendea watuhii ni kauli nzito sana. angeisoma na kuitafakar ingemsumbua sana. yan damu ya mtu! utatafuta kila sabab ya kuihalalisha lakin wap! wengine hugeuka vichaa hadi kudhaniwa wamerogwa. hakuna hukum mbaya kama ya rohoni!
Hapo ndipo ujiulize kwa jinsi Mwendazake alivyokuwa anamtafuta Mbowe ili amfunge, kama angekuwa na ushahidi wa madawa ya kulevya si angempeleka Mahakamani asubuhi?Nae alitajwa kwenye madawa
I tend to concur with you.This boss of PCCB is so smart. He is fooling this imbecile so that he (imbecile) can be investigated and cornered appropriately.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Makonda hajawahi kuendesha vita dhidi ya wauzaji wa madawa ya kulevya. Ila alitumia madawa ya kulevya kujipatia fedha, magari na vitu vingine vyenye thamani ya Mabilioni ya Shillingi.
Watu pekee aliowafikisha Mahakamani ni Yusuf Manji na Wema Sepetu ambao walishtakiwa kwa kutumia heroine na bangi na siyo kuuza.
Nitajie wewe ni nani mfanya biashara wa madawa aliyeshiyakiwa na Makonda halafu nitakujibu.
[emoji106][emoji106][emoji106]Acha kumlisha maneno Salumu Hamduni , wapi ametamka Makonda mchapa kazi , wapi ametamka alipigana Vita ya madawa ya kulevya , Pimbi kweli wewe , Makonda alipigana vita ya madawa ya kulevya au alipora mali za wafanyabiashara akiwasingizia wanafanya biashara ya madawa , kapora magari ya watu ,hela n.k.
Makonda kwa Mwendazake alikuwa sawa na Maliyamungu na Iddi Amin.Makonda ni mwendazake?
Sheria za MUNGU, wewe ndio hakimu wake?Sheria za Mungu ndivyo usema sio Mimi.
Sisi ni mashuhuda wake zinavyofanya kaziSheria za MUNGU, wewe ndio hakimu wake?
Hakuna kitu Kama hiko, yeye na MUNGU wake watajuana, maana binadamu hutubia kwa MUNGU sio kwa mtuSisi ni mashuhuda wake zinavyofanya kazi
Ishi miaka mingi uhushudie ukuu wa MunguHakuna kitu Kama hiko, yeye na MUNGU wake watajuana, maana binadamu hutubia kwa MUNGU sio kwa mtu