Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Hata wakilindwa but karma lazima izae nao tu. Alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho hana nuru tena amejaa hatia ya machozi na damu za watu zitatafuna hadi uzao wake
hii ni kauli nzito sana. angeisoma na kuitafakar ingemsumbua sana. yan damu ya mtu! utatafuta kila sabab ya kuihalalisha lakin wap! wengine hugeuka vichaa hadi kudhaniwa wamerogwa. hakuna hukum mbaya kama ya rohoni!
 
Na polisi nao hawana nia ya kumkamata Makonda?
Mchapa kazi!!!🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi gani hiyo anayeichapa?
 
Na polisi nao hawana nia ya kumkamata Makonda?
Mchapa kazi!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi gani hiyo anayeichapa?
Enzi zake ulipata madawa ya kuvuta?
 
hii ni kauli nzito sana. angeisoma na kuitafakar ingemsumbua sana. yan damu ya mtu! utatafuta kila sabab ya kuihalalisha lakin wap! wengine hugeuka vichaa hadi kudhaniwa wamerogwa. hakuna hukum mbaya kama ya rohoni!
Cheza na vyoote lkn sio damu na machozi ya watu yanatafuna hadi kizazi we uchek baadhi ya familia viongozi azifananii ...chanzo ni mabaya wazazi wao waliowatendea watu
 
Nae alitajwa kwenye madawa
Hapo ndipo ujiulize kwa jinsi Mwendazake alivyokuwa anamtafuta Mbowe ili amfunge, kama angekuwa na ushahidi wa madawa ya kulevya si angempeleka Mahakamani asubuhi?
 
Hapo ndipo ujiulize kwa jinsi Mwendazake alivyokuwa anamtafuta Mbowe ili amfunge, kama angekuwa na ushahidi wa madawa ya kulevya si angempeleka Mahakamani asubuhi?
Makonda ni mwendazake?
 
Makonda hajawahi kuendesha vita dhidi ya wauzaji wa madawa ya kulevya. Ila alitumia madawa ya kulevya kujipatia fedha, magari na vitu vingine vyenye thamani ya Mabilioni ya Shillingi.

Watu pekee aliowafikisha Mahakamani ni Yusuf Manji na Wema Sepetu ambao walishtakiwa kwa kutumia heroine na bangi na siyo kuuza.

Nitajie wewe ni nani mfanya biashara wa madawa aliyeshiyakiwa na Makonda halafu nitakujibu.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Acha kumlisha maneno Salumu Hamduni , wapi ametamka Makonda mchapa kazi , wapi ametamka alipigana Vita ya madawa ya kulevya , Pimbi kweli wewe , Makonda alipigana vita ya madawa ya kulevya au alipora mali za wafanyabiashara akiwasingizia wanafanya biashara ya madawa , kapora magari ya watu ,hela n.k.
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom