Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
- Thread starter
- #141
Lakini madawa ya kulevya yaliisha TanzaniaTakukuru, huyu makonda ana mikono michafu inayonuka ile 'kitu ya uzima wa milele'.
Ni mtu ambae ameumiza wengi kwa kisingizio cha madawa ya kulevya au Bereau de change.
Amenyanyasa wengi na kuwaonea watu wasio na hatia, asulubiwe asulubiwe!