Serikali makiniNi ile ile!
Serikali makini haiwezi kujivua nguo kiasi hiki.Serikali makini
Hiyo serikali nani aliichagua?Serikali haifanyi kazi kwa kuagizwa na chadema
Kaama hukuichagua why unaipangia Cha kufanya?Hiyo serikali nani aliichagua?
Tunapinga maigizo yenu!Kaama hukuichagua why unaipangia Cha kufanya?
Serikali makini haiwezi kujivua nguo kiasi hiki.
Hata huyo Sabaya mwisho wa siku mnaweza kusikia DPP anamfutia hizo kesi.
Hivi inakuwaje diamond anakuwa ndio mada kubwa sana kwa wanachadema kuliko mambo muhimu mnayosemaga yanawanyima ushindi kwenye uchaguzi?Ni ile ile!
Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else...
Team SACCOS limewashuka shuu habari mpelekeeni Kigogo, haya endeleeni kupiga ramli zenu.Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda...
Hata wakilindwa but karma lazima izae nao tu. Alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho hana nuru tena amejaa hatia ya machozi na damu za watu zitatafuna hadi uzao wakeUkipeleka ushahidi wako utaisadia serikali yako isijivue nguo Mtu anahukumiwa kwa ushahidi wa tuhuma zake, sio kwa tuhuma pekee
Kwako karma anafika lini!?Hata wakilindwa but karma lzm izae nao tu.
Alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho hana nuru tena amejaa hatia ya machozi na damu za watu zitatafuna hadi uzao wake