Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
π€£ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€£ππππππππ
Sasa kinachowafanya mtumie Majeshi kukidhibiti ni nini?Wewe ndugu yangu nakuaminia. It's just a matter of time before you realise kwamba CDM hamna sera ni kikundi cha watu tu kinachotafuta ulaji.
Pamoja na comment yako,na huku ukimuogopa Mungu hebu sema UKWELI kuhusu wale wafia CCM watajisikiaje kama huyu Bwana akipewa kitengo CCM.Wewe ndugu yangu nakuaminia. It's just a matter of time before you realise kwamba CDM hamna sera ni kikundi cha watu tu kinachotafuta ulaji.
Chadema ni imani..ππππππππ
Wewe bado una mvuto huko Mombasa?Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza endelea kubaki chadema kwa sasa, chama kimepoteza mvuto kabisa
Jibu mjarabuNdio maana mnawahonga?
Wacha unafiki...Ngoja nikuumbue soonSijawai kuwa CCM na siwezi kuwa sehemu ya Mashetani
Zimeshashuka bei kwani?Tunyweni bia jamani
Uamuzi ni wake, yule sio mtoto mdogo...ana uhuruHakuna mkate mgumu mbele ya chai, Tena chai yenyewe ya maziwa.
Toyota Landcruiser number T357 DBT Imeonekana mara kwa mara ikiwa na vijana wa CCM (blak) na Salimu Mwalimu ambaye taarifa kutoka chanzo cha ndani zimethibitisha hilo ni Suala la Muda tu.
CHADEMA wanaachwa Solemba
PM iko wazi sasa
JM
[emoji23][emoji23]usishangae ata gwajiboy akachanjwa chanjo ya uvikoHakuna mkate mgumu mbele ya chai, Tena chai yenyewe ya maziwa.
Toyota Landcruiser number T357 DBT Imeonekana mara kwa mara ikiwa na vijana wa CCM (blak) na Salimu Mwalimu ambaye taarifa kutoka chanzo cha ndani zimethibitisha hilo ni Suala la Muda tu.
CHADEMA wanaachwa Solemba
PM iko wazi sasa
JM
Khaaa yaan asipewe nafasi serikalini kama wenzie wanavyokula teuz mara udc mara uded ateuliwe kwenye kitengo cha ccm? SIYO KWELI CCM WAPO WAKUTOSHA SANA HAWAJAISHIWA KIASI CHA KUMKARIBISHA MWANACHADEMA NDANI ASEEE!Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Tena chai yenyewe ya maziwa.
Toyota Landcruiser number T357 DBT Imeonekana mara kwa mara ikiwa na vijana wa CCM (blak) na Salimu Mwalimu ambaye taarifa kutoka chanzo cha ndani zimethibitisha hilo ni Suala la Muda tu.
CHADEMA wanaachwa Solemba
PM iko wazi sasa
JM
Piga mashine broUsingizi umekata
Bakini hapo na nadharia zenu, mkija kushtuka, mtajua hamjui.Hakina MTU mwenye akili aliyeko CCM .Hakina anayetumia kichwa kufikiri akawa CCM .Anayetumia tumbo kufikiri pekee ndiye aliyeko CCM.Hata Mohamed Atta Singers kuwa njaa Na umalaya wa kisiasa ulionao usingekuwa CCM
Ila hata shine tena akienda hukoMbowe anastahili medani, kijana aliyempa mafunzo ya kisiasa amekua turufu ya CCM.
Na wao kwanini wakubali kuhongeka ikiwa walikuwa na mapenzi ya kweli kwa chama chao cha Chadema.??Ndio maana mnawahonga?
Mbona lowasa alipewa cheo na nafasi hamkulalamika bali mlishangilia?Wewe umetumikia ccm miaka halafu cheo anapewa Salumu Mwalimu , huoni fedheha ?