Hakuna mwanaume pale? Huyo ni bwabwa tuAna jina lake anaitwa DLAMIN aka king of squart ni gym trainer mzuri saaana,yawezekana ni bora kabisa Afrika,anatumia nyimbo haswa za tamaduni za kisouth huko,ni mzalendo sana huyo bwana, hata mi nilijuaga bwabwa ila kumbe sio japo sijachimba sana historia yake
Kuna gym nyingi tu wanawake wanajenga shape kwa aerobics. Tena wengine hawaendi hata gym bali wanafuatilia YouTube. Unamteea bure huyo shogaTako haimaanishi ushoga mkuu.
Unaweza usiwe na tako na ukawa shoga.
So tusiwe na mitizamo hasi.
Yawezekana kaamua kujitengeneza kuonesha kwa mfano.
Japo mm siwez fanya hivyo. Ila kama kafanya hvyo kuhamasisha wateja wake na wamemwelewa na anapata rizki yake halali ambayo haina laana toka kwa Mwenyezi Mungu na afanye na liwe kubwa zaidi ya hapo
Kilamtu afanye yalio yake apate rizki halali maana hata maneno yetu hayampi kula.
😅😅 kumbe? Em ngj aje nione kishuzi kipo kweli au editing..Na anakuja mkoa uliopo 😂😂 gym flan iko Njiro. Sijui niende nikamzoom live 😁😆
Duuuhhhhhh mwanaume ana kishindu na kishepu hivo 🙌🙌🙌🙌🙌
Namuonaga insta
🤣🤣Tireina kishundu.
Mi namuonaga insta sio shog ILa shep sasa🙌Huyu anawavutia wanawake wafanye mazoezi wawe na tako lenye sheep... jamanii sio bwabwa
Sio shoga huyuAtapigwa mawe huku asije
🤣🤣🤣🙌We sema umelitamani tako ulifukue usitusingizie
DuhHuyu jamaa wala sio punga ila ameamua kuwa mfano wa matokeo ya anachokifundisha,alikua mchezaji wa mpira wa miguu.
Ila jmn sio Kwa hili tako 🤣🙌
Iko hivi mkuuKuna gym nyingi tu wanawake wanajenga shape kwa aerobics. Tena wengine hawaendi hata gym bali wanafuatilia YouTube. Unamteea bure huyo shoga
Hata marehemu Macheni alipokuwa ndiyo kwanza karudi toka Ulaya alikuwa anatinda nyusi, anapakaa wanja na anavaa mikufu kama mademu. Watu waliposema ni shoga wengine wakamtetea. Ila baada ya David Mataka kumnunulia benz na kuanza kumshika matako live kwenye nyimbo za mduara za Beta Muzika ndiyo watu wakaamini.
Kama wale watu wa nyanda flaniiiiii???Sio shoga huyu
Jmn wasauz SI mnajua walivyo na maumbile 🤣🤣🤣🤗
🤣🤣🤣Kaharibu sana mwili wake, nini hiki sasa!!!
Kwa madiba mojaNi Mtanzania?