Samahani, huyu Mtu ni nani?

Status
Not open for further replies.
Kuna gym nyingi tu wanawake wanajenga shape kwa aerobics. Tena wengine hawaendi hata gym bali wanafuatilia YouTube. Unamteea bure huyo shoga

Hata marehemu Macheni alipokuwa ndiyo kwanza karudi toka Ulaya alikuwa anatinda nyusi, anapakaa wanja na anavaa mikufu kama mademu. Watu waliposema ni shoga wengine wakamtetea. Ila baada ya David Mataka kumnunulia benz na kuanza kumshika matako live kwenye nyimbo za mduara za Beta Muzika ndiyo watu wakaamini.
 
Trainer mmoja kutoka southafrika nadhani ila mazoezi yake yana focus kuongeza makalio pekee na jinsia ke ndo huwaambii jambo kwa huyu jamaa kinachonishangaza ni mwanaume unafurahia vipi kuwa na mzigo kama huo ? Tena unavaa na yoga pants kabisa duh!
 
Iko hivi mkuu
Kusema jambo usilokuwa na hakika nalo kisa mwonekano ni kumkosea yeye pia Mwenyezi Mungu.

Binafsi sipendi ushoga wala usagaji ila kumhukumu mtu kisa umbile ni hapan.
Anyway tuishie hapa nadhani itakuwa poa zaid
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…