Tumaini Jipya
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 379
- 125
ngumu kumezani true..
huwezi kusema unampenda mtu halafu umsaliti kama unavyotaka kufanya..and I can assure you, this time 'the maasai' is going to find out..
Ninamuomba tu Mungu ampe hisia, ili ajue what kind of a girl you are..
Unakuja kuutangazia umma namna hii..it is not acceptable at all .. unachokipanda utavuna...and you will regret..
Tunajua ni maisha yako na unaweza kufanya lolote unalotaka kwa sababu uko huru..Lakini maisha yasiyokuwa na responsibility and good manners, hayana tofauti na mnyama,
Unajidanganya kwamba utafanya mara moja..if you succeed in your 'plan'..nakwambia utachonga mzinga!
Kumbuka mtu anayezini hovyo hovyo anafananishwa na mtu 'asiyekuwa na akili kabisa'...
tunakupenda sana, DONT DO THAT..(vinginevyo umuache huyo mmasai wako)
Hahaha mi kwa jinsi navyo ona hit & run ina Faida nyingi kuliko hasara.
Kwa taarifa yako walio olewa/oa wanaongoza kwa maambukizo ya ukimwi chunguza utabaini.
mery hivi kweli nyumbani wana taharifa waeleze wazazi wakupe baraka na masai akigundua utawezakumshusha mori haya/kwa nini usitumie fetch,**** and forget kwa vichenchebe utavifaidi sana ila mimi NO (mmasai and only once mzungu)
sio kwamba napenda mzungu ila ni fahari kwangu kujua ladha ya soda yake sio nibaki tu kuwaziaMatamanio yasipokwisha. Ukanogewa itakuwaje?!!!!!!!!!!!!!!!!!
No at all
Huwezi kuamini namheshim sana bf wangu
ukioneshwa na kuambiwa niwapo mbali na kuwa na hisia mchanganiko huwezi amin
100% i will be a good wife to suit any body given hanywi pombe
Hahahahaha! Umenchekesha sana mkuu.Hii mistari si uwauzie mabongofleva watoke...chorus na verse ya pili nao wapasue kichwa.
Mchungaji usinilaanYale yale! Haibiwi mtu, kwa kifupi hufai hata kuwa kwenye mahusiano
sio kwamba napenda mzungu ila ni fahari kwangu kujua ladha ya soda yake sio nibaki tu kuwazia
kwangu kumegwa kwa heshima rahaa tena sana, na zaidi iwe condomless yaan juisi ikiingia najihihi kuzimia kwa rahaHahahaha mmasai amesha anza kukumega? maana mchagga ulikataa ulisema ulikuwa unamlia visenti vyake. Huyu mmasai anakumega?
Dena not like that just say ABC kuhusu hisia zangu (hata kama zimefanana na za Chauro poa tu manake hatufanani)
Mchungaji usinilaan
mbona nina rules zangu kama vipi wajitokeze wakaka na wadada wataje wameplay na wangapi usiposhangaa sembuse mimi wawili?
Hahahahaha! Umenchekesha sana mkuu.
Mara ya mwisho ulimuona daktari wa magonjwa ya akili lini? Inaonekana upo "stage 2"!
wewe acha kabisa tena nakwambia wadada wanaoachika ni wazembemery hivi kweli nyumbani wana taharifa waeleze wazazi wakupe baraka na masai akigundua utawezakumshusha mori haya/
hapored thanks a lotMertina ni lazma utii hizo hisia?kama kweli unamaanisha hebu omba Mungu akuondolee hiyo kitu,vinginevyo nakuombea utulivu na mmasai wako:car:
Hahahahaha! Hata huyo bongo fleva inabidi ajiulize sana ndo akubali kuuziwa hii mistari, coz asipoangalia verse ya pili itamletea shida kidogoMi namshangaa badala ya kututafuta mapromota anatafuta mzungu.