Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

ODM yuko kitandani, anataka kumlala binti flani hivi wa JF. Tatizo binti mwenyewe hata hajui hii bahati inayomtemmbelea.

Kulalwa na babu, ni bahati!

Sema nae ukishindwa mdanganye utamuoa hapa utalala nae kiulainii.
 

Pearl,

Sijui ni hiz Bia za jana pale BM-Tegeta, lakini sina uhakika kama KEYBOARD imenusurika au ni TOUCH-SCREEN?

Anyways, merytina bana, God knows!
 
mmmmmmmhhhhhh!



Bishanga Merytina si mtoto mdogo, watu wanahangaika kupata wapenzi waloridhika nao hawapati! Kujibu kuichukulia serious mtu unashindwa - kuna fantasies wanadamu tunakua nazo kichwani ambazo inabidi usithubutu kutaja hadharani. Kwa hii thread yake Merytina kawaweka wadada katika hali ngumu saana kwa wanaume waloiona/soma this thread. Na si kwamba anaomba ushauri, anatupasha; ukizingatia alijua kabisa itakuwaje maana kisha omba samahani kwenye topic kabla hata hujafungua thread yenyewe. Mtu alofika level ya kuelezea hivyo kisha amuua and there is nothing we can do about it. Hivyo basi let her express her self, maana ni ktk JF this is how we get to know one another.

Narudia tena, Merytina Express your self mdada....
 
Skulimet,

hapo red/underline/bold inabidi nirudi kwenye Tenzi za Rohoni:-
...
(3) Mkononi sina kitu,Ila msalaba wako
Ni mtupu, nipe nguo; Ni mnyonge nipe nguvu;
Niondolee taka; Nitakase sijafa.

Mwamba wa kale; kwako nitajificha;

Skulimeti,

Umenikumbusha Rev Fr Hector.

Taaazamaaaa wewe ni Bwanaaa
Mungu wa Woooote wenye mwiliiiii,
Jeee kuna neno gumu lolote, usiloliweza?
Jeee kuna neno kuna neno kuna neeeeeenooooo, usiloooooooliweeeeezaaaa?
Jeee kuna neno gumu loloteeeee, usiloooooo liweeza?

Huuu ndio mwili wa Bwana Yeesu!.............. Hapo Anaingiza Scholastica na Sospeter...
 
mamaaaa kimbembe!,yaani unatafuta mzungu?!samahani wahi kanisani uombewe huyo ni pepo wa ngono hakuna lingine
 
du kinaniuma sana utakuta mwanaume wa watu katulia hana hili wala lile,kama mimi lakini mkewe ndo kiguu na njia kuzipima size,mungu tusaidie
 
ushauri mzuri na sms nzuri kutoka kwa pearl mie naona merytina uitumie kabla god knwos labda una katizo kana kusumbua lbda masai wako hana lakin babilika pnguza matamanio ma friend leo mzungu kesho mchina kesho kutwa mwarabu acha
 
keyboard imepona sema roho inauma yani napata picha ndo mwanangu huyu kanitambulisha mchumba siku ya siku anakutwa gesti na mtu mwingine thats y sometimes watu husema wamama tunahusika na mapungufu ya watoto wetu,kesho kesho kutwa atakuwa mama huyu unadhani atashauri nn watoto wake?they say some things are beta said if nothing is said at all!
Pearl,

Sijui ni hiz Bia za jana pale BM-Tegeta, lakini sina uhakika kama KEYBOARD imenusurika au ni TOUCH-SCREEN?

Anyways, merytina bana, God knows!
 

Big up sana mama,

Mama lazima usimamie malezi ya mtoto hata akiolewa na akiwa na tabia nzuri sifa zinaenda kwa mama na si kwa baba.
 
Hahahaha...mpwa hapo si ntakuwa sijaitendea haki baiolojia yangu?


:hand::hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:
 
Fikiria mwenzako nae akisema anataka kuonja waMakonde japo anakupenda utajiskiaje...kama unaona haitakua tatizo kwako basi endelea kutamani mpaka utakapopata hicho roho yako inachotaka!!!

Usisahau kinga tu maana kumletea mMassai mtoto wa kizungu haitakua moja ya faida!!!
 
Great thinking,bravo!
 
hiviiiiii,ile cd yenye wimbo wa TAMAA MBAYA si unayo?ebu mpe kwanza akaikilize.
Big up sana mama,

Mama lazima usimamie malezi ya mtoto hata akiolewa na akiwa na tabia nzuri sifa zinaenda kwa mama na si kwa baba.
 
na wewe unavyoonekana ukimpta mzungu uta*** bila kondom kwa ulaf wa ngono
 
Hapo ngoma hukosi ndugu yangu, ila sasa maisha haya mpk lini? Watu tunaogopa kuhifadhiwa home, na nyie mnaogopa kutuhifadhi, sa nani atamfunga paka kengele??
Ndo maana mimi naogopa kutangaza ndoa hivi hivi unamuhifadhi mtu home alafu vidume vinakumegea kiulainiiii utakosa ngoma hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…