Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

ODM yuko kitandani, anataka kumlala binti flani hivi wa JF. Tatizo binti mwenyewe hata hajui hii bahati inayomtemmbelea.

Kulalwa na babu, ni bahati!

Sema nae ukishindwa mdanganye utamuoa hapa utalala nae kiulainii.
 
sichukii hisia zako,lakini nakuchukia ww na mawazo mgando uliyonayo,huna mapenzi ya dhati,huna hofu ya Mungu,magonjwa,kifo,yani huna tofauti na wanaojilipua mabomu,nadhani na ww ni mmoja wa wale wafuasi wa uncle Osama,unatudhalilisha wanawake wenzio/dada zako/mama zako,najua ur under 18 :A S-baby::A S-baby::A S-baby:lakini washwahili husema samaki mkunje..........,ww umeshindikanika,mtu gani unaelekezwa huskii?eti mara moja,alafu?eti ujiridhishe matamanio kesho utatamani Tigo,kesho kutwa maskioni ,puani mpaka sijui wapi!Kwann lakini?Mbona una pepo mbaya sana?mdogo wangu ebu kaa chini jiangalie kwenye kioo jiulize unamapungufu yapi,jione Mungu alivyokuumba kwa sura na mfano wake,jione mema yote aliyokupa na madhambi yote uliyofanya lakini yy ni mwingi wa uruma na upendo na anakusamehe kila siku za maisha yako,ebu jaribu kumwambia jinsi pepo wa ngono anavyokuandana,vuta sura ya yule mmasai wako alivyoumba kwa upekee,jaribu kuona ule weusi wake wa kiafrika unavyongaa na kupendeza,jaribu kuona yale meno yake yalivyopangana na kung'aa,jaribu kuona ule urefu wake kama wa twiga,alafu angalia yale manjonjo yakle mkiwa kuleeeeeeeeee.............,huoni kama Mungu kakupendelea sana kukupa mtu wa pekee na akupendae kwa dhati?

Pearl,

Sijui ni hiz Bia za jana pale BM-Tegeta, lakini sina uhakika kama KEYBOARD imenusurika au ni TOUCH-SCREEN?

Anyways, merytina bana, God knows!
 
mmmmmmmhhhhhh!



Bishanga Merytina si mtoto mdogo, watu wanahangaika kupata wapenzi waloridhika nao hawapati! Kujibu kuichukulia serious mtu unashindwa - kuna fantasies wanadamu tunakua nazo kichwani ambazo inabidi usithubutu kutaja hadharani. Kwa hii thread yake Merytina kawaweka wadada katika hali ngumu saana kwa wanaume waloiona/soma this thread. Na si kwamba anaomba ushauri, anatupasha; ukizingatia alijua kabisa itakuwaje maana kisha omba samahani kwenye topic kabla hata hujafungua thread yenyewe. Mtu alofika level ya kuelezea hivyo kisha amuua and there is nothing we can do about it. Hivyo basi let her express her self, maana ni ktk JF this is how we get to know one another.

Narudia tena, Merytina Express your self mdada....
 
Skulimet,

hapo red/underline/bold inabidi nirudi kwenye Tenzi za Rohoni:-
...
(3) Mkononi sina kitu,Ila msalaba wako
Ni mtupu, nipe nguo; Ni mnyonge nipe nguvu;
Niondolee taka; Nitakase sijafa.

Mwamba wa kale; kwako nitajificha;

Skulimeti,

Umenikumbusha Rev Fr Hector.

Taaazamaaaa wewe ni Bwanaaa
Mungu wa Woooote wenye mwiliiiii,
Jeee kuna neno gumu lolote, usiloliweza?
Jeee kuna neno kuna neno kuna neeeeeenooooo, usiloooooooliweeeeezaaaa?
Jeee kuna neno gumu loloteeeee, usiloooooo liweeza?

Huuu ndio mwili wa Bwana Yeesu!.............. Hapo Anaingiza Scholastica na Sospeter...
 
mamaaaa kimbembe!,yaani unatafuta mzungu?!samahani wahi kanisani uombewe huyo ni pepo wa ngono hakuna lingine
 
du kinaniuma sana utakuta mwanaume wa watu katulia hana hili wala lile,kama mimi lakini mkewe ndo kiguu na njia kuzipima size,mungu tusaidie
 
ushauri mzuri na sms nzuri kutoka kwa pearl mie naona merytina uitumie kabla god knwos labda una katizo kana kusumbua lbda masai wako hana lakin babilika pnguza matamanio ma friend leo mzungu kesho mchina kesho kutwa mwarabu acha
 
keyboard imepona sema roho inauma yani napata picha ndo mwanangu huyu kanitambulisha mchumba siku ya siku anakutwa gesti na mtu mwingine thats y sometimes watu husema wamama tunahusika na mapungufu ya watoto wetu,kesho kesho kutwa atakuwa mama huyu unadhani atashauri nn watoto wake?they say some things are beta said if nothing is said at all!
Pearl,

Sijui ni hiz Bia za jana pale BM-Tegeta, lakini sina uhakika kama KEYBOARD imenusurika au ni TOUCH-SCREEN?

Anyways, merytina bana, God knows!
 
keyboard imepona sema roho inauma yani napata picha ndo mwanangu huyu kanitambulisha mchumba siku ya siku anakutwa gesti na mtu mwingine thats y sometimes watu husema wamama tunahusika na mapungufu ya watoto wetu,kesho kesho kutwa atakuwa mama huyu unadhani atashauri nn watoto wake?they say some things are beta said if nothing is said at all!

Big up sana mama,

Mama lazima usimamie malezi ya mtoto hata akiolewa na akiwa na tabia nzuri sifa zinaenda kwa mama na si kwa baba.
 
Hahahaha...mpwa hapo si ntakuwa sijaitendea haki baiolojia yangu?


:hand::hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:
 
Fikiria mwenzako nae akisema anataka kuonja waMakonde japo anakupenda utajiskiaje...kama unaona haitakua tatizo kwako basi endelea kutamani mpaka utakapopata hicho roho yako inachotaka!!!

Usisahau kinga tu maana kumletea mMassai mtoto wa kizungu haitakua moja ya faida!!!
 
Ukimwi ndiyo maana unatumaliza Waafrika!!

Ukiachilia mbali wengi wa wanaompinga mleta mada, yaani hamna hata mmoja kati ya wachache wanaoonekana kuwa-liberal na kumuunga mkono mdada huyu wanaomshauri afanye ngono salama katika kutimiza hayo matamanio yake. Basi, mimi kama mmoja wa wachache wanao okay tamanio lako nasema - enenda, kapate huyo mzungu, lakini kumbuka kufanya ngono salama ili kujilinda wewe na yule umpendaye.

If anything, mimi nadhani hapa linaloonekana ni jinsi gani wabongo tulivyo wanafiki. Oooh usifanye hivi, usifanye vile... what about her needs! Yes, her needs and not wants (since a convergence between needs and wants exists)! Mojawapo likiwa hilo la kutamani kulala na mzungu kabla hajaolewa. Maana kashasema anampenda huyo Mmasai wake, lakini angependa tu kulala na mzungu kabla hajaingia kwenye pingu ya maisha. This sounds so wrong and undignified, especially when told in public yet so prevalent and unhindered. Yeah right, com'on people, let's face it, how many times this happens katika jamii yetu??!

Merytina, this might sound absolutely bonkers, but mimi nakushauri uongee tu na huyo Mmasai wako... Jaribu kuwa na maongezi naye ya faragha katika mwelekeo wa kumdadisi vilevile yale yaliyo matamanio yake, iwapo kama naye anayo upate kujua, ni yapi, lini, wapi na kwa yupi. Uwezekano kwamba Mmasai wako naye atakuwa anatamani kudinya watu wasio asili yake waweza kuwa mkubwa tu. If the two of you talk about this and agree, it could be possible kuwa mnakubaliana kufanya jambo hili kwa usalama zaidi kabla ya ndoa yenu na kufungua chapter mpya mkiwa mme-banish completely matamanio ya ajabu. Waliosema dawa ya moto ni moto walilenga mengi ati... maana katika kutokomeza uwepo wa hisia chafu katika relationship, yawezekana kupandikiza hisia hizo mwanzoni mwanzoni yaweza kuwa ni chanjo mbadala.

Kingine Merytina, naona umesisitiza mara kadhaa kuhusu nia yako ya kufanya jambo hili mara moja na kuacha nalo. Cha ajabu wachangiaji wengi wanaonekana kubeza msimamo huu, kwa kudhania kuwa utafanya mara moja na mara baada ya hapo - kujichongea mzinga kabisaa! Katika jambo hili na kulingana na baadhi ya hoja za wachangiaji, kuna jambo kubwa linaonekana miongoni mwetu Wabongo, ambalo ni la kutokuwepo kwa misimamo katika magumu tunayochagua kuyafanya. Ya kwamba, pale mtu unapojisemea kufanya jambo fulani ule msimamo wa kusema nitafanya jambo hilo na kuachana nalo mara baada hatuna. Yaonekana wengi maamuzi kama haya hatuyawezi. Katika hili wengi tunaonekana kuamini katika mapungufu yetu ya kutenda jambo, liwe la dhambi au la thawabu na kuendelea kulitenda jambo hilo pasipo kikomo pale panapohitajika. In short, we show lack of volition.

Where there is a will there is a way! Do it, do it safe. Fool your emotions, live with regrets. Abandon your morals, live with the consequences!!
Great thinking,bravo!
 
hiviiiiii,ile cd yenye wimbo wa TAMAA MBAYA si unayo?ebu mpe kwanza akaikilize.
Big up sana mama,

Mama lazima usimamie malezi ya mtoto hata akiolewa na akiwa na tabia nzuri sifa zinaenda kwa mama na si kwa baba.
 
na wewe unavyoonekana ukimpta mzungu uta*** bila kondom kwa ulaf wa ngono
 
Hapo ngoma hukosi ndugu yangu, ila sasa maisha haya mpk lini? Watu tunaogopa kuhifadhiwa home, na nyie mnaogopa kutuhifadhi, sa nani atamfunga paka kengele??
Ndo maana mimi naogopa kutangaza ndoa hivi hivi unamuhifadhi mtu home alafu vidume vinakumegea kiulainiiii utakosa ngoma hapo?
 
Back
Top Bottom