Hivi mzungu ndo nini tena?? Ujue bado natafakari, sijapata jibu.na wewe unavyoonekana ukimpta mzungu *** bila kondom kwa ulaf wa ngono
Hapo ngoma hukosi ndugu yangu, ila sasa maisha haya mpk lini? Watu tunaogopa kuhifadhiwa home, na nyie mnaogopa kutuhifadhi, sa nani atamfunga paka kengele??
Huyu mtanzania na we mzungu..mie natafuta mtanzania! nina hamu na mtanzania...
Ha ha ha ha unajua binadamu hatuaminiani katu
Hapa ndo penye kazi lazima utengeneze mazingira ya kumfanya mwenzio akuamini.
Huyu mtanzania na we mzungu..
My job is done here..
mie natafuta mtanzania! nina hamu na mtanzania...
We ni mnani vile?
huyu ni mwanamke? mimi nilidhani ni dume!hahahaha
nipe number yake tuongee...
Wewe jamani
Unacheza na nyuki ae..daahh
Shauri yako uking'atwa..
Mi simo...
Sikutegemea kwa sababu wewe navokufahamu si mtu wa kujiexpress sasa nikashangaa hilo swali
tusi la mwakaKuna wakati nahisi Marytina ni mwanaume.
dear hujaniudhi hata kidogoHivi wewe mdada una akili timamu? kwa nini usiende kusimama barabarani ukakamilisha huo UKAHABA WAKO? Kweli ukistaajabu ya MUSA utaona FARAO.
Kwa hiyo huyo mmsai wako nae? awe mume ***** kama ulivyo shetani? Chunga sana wazungu unaowatamani, hakuna kitu kiko ndani yake.
Sorry kama nimekutusi nina hasira na wewe ningekuona ningupa maneno magumu sana, bahati yako!
duh huyu hapana haweziHuyu jamaa anitwa richrad knox picha chini hapo ... atakuja A - Town kutalii mwezi ujao .. kama utamuhitaji ni PM... lakini inabidi unipe cha juu kwa kufanikisha ndoto yako...
duh huyu hapana hawezi
uamuzi wa kutumia ubongo ni kwamba NIACHEGoodmorning Merytina,umeamuaje?
sasa hili litakuletea matatizo manake wajumbe watahoji 'umejuaje'
habari yako binafsi...
Nikiisoma hii mara tatu itabidi jioni nipitie zahanatisichukii hisia zako,lakini nakuchukia ww na mawazo mgando uliyonayo,huna mapenzi ya dhati,huna hofu ya Mungu,magonjwa,kifo,yani huna tofauti na wanaojilipua mabomu,nadhani na ww ni mmoja wa wale wafuasi wa uncle Osama,unatudhalilisha wanawake wenzio/dada zako/mama zako,najua ur under 18 :A S-baby::A S-baby::A S-baby:lakini washwahili husema samaki mkunje..........,ww umeshindikanika,mtu gani unaelekezwa huskii?eti mara moja,alafu?eti ujiridhishe matamanio kesho utatamani Tigo,kesho kutwa maskioni ,puani mpaka sijui wapi!Kwann lakini?Mbona una pepo mbaya sana?mdogo wangu ebu kaa chini jiangalie kwenye kioo jiulize unamapungufu yapi,jione Mungu alivyokuumba kwa sura na mfano wake,jione mema yote aliyokupa na madhambi yote uliyofanya lakini yy ni mwingi wa huruma na upendo na anakusamehe kila siku za maisha yako,ebu jaribu kumwambia jinsi pepo wa ngono anavyokuandana,vuta sura ya yule mmasai wako alivyoumba kwa upekee,jaribu kuona ule weusi wake wa kiafrika unavyongaa na kupendeza,jaribu kuona yale meno yake yalivyopangana na kung'aa,jaribu kuona ule urefu wake kama wa twiga,alafu angalia yale manjonjo yakle mkiwa kuleeeeeeeeee.............,huoni kama Mungu kakupendelea sana kukupa mtu wa pekee na akupendae kwa dhati?