Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

Hapo ngoma hukosi ndugu yangu, ila sasa maisha haya mpk lini? Watu tunaogopa kuhifadhiwa home, na nyie mnaogopa kutuhifadhi, sa nani atamfunga paka kengele??

Ha ha ha ha unajua binadamu hatuaminiani katu

Hapa ndo penye kazi lazima utengeneze mazingira ya kumfanya mwenzio akuamini.
 
wamebaki wachache sana wanaoaminiana, yan siku hizi ndoa ni maigizo mwanzo mwisho, inauma hapa tulipofikia mungu na atusamehe. Alijisemea 20% bora kujiweka pembeni kuepusha msongamano.
Ha ha ha ha unajua binadamu hatuaminiani katu

Hapa ndo penye kazi lazima utengeneze mazingira ya kumfanya mwenzio akuamini.
 
Sikutegemea kwa sababu wewe navokufahamu si mtu wa kujiexpress sasa nikashangaa hilo swali


sasa hili litakuletea matatizo manake wajumbe watahoji 'umejuaje'

habari yako binafsi...
 
sasa unataka sisi tukushauli juu ya mwili wako? ni wangapi uliwapa bila kutaka ushauli? unachotakiwa kujua wewe kama mwanamke wa kiafrika, ACHA KASUMBA THAMANI YA MWILI WAKO NI WEWE MWENYEWE
 
dear hujaniudhi hata kidogo
Najua hili wazo ni tata kwa baadhi yetu ila kaka zetu wanpenda kwelikweli to do na different races
 
Huyu jamaa anitwa richrad knox picha chini hapo ... atakuja A - Town kutalii mwezi ujao .. kama utamuhitaji ni PM... lakini inabidi unipe cha juu kwa kufanikisha ndoto yako...

duh huyu hapana hawezi
 
Goodmorning Merytina,umeamuaje?
uamuzi wa kutumia ubongo ni kwamba NIACHE
Ila ntakuwa siutendei haki mwili wangu just imagine nimeandamwa na hisia hizi for two years
only 'once' it wont turn down my life
 
Nikiisoma hii mara tatu itabidi jioni nipitie zahanati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…