Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

sidhani kama unaridhika hapo kwa mmasai ulipo?ungekuwa unaridhika usingetamani vya nje! wacha kumpotezea muda kaka wa watu kwa kumuweka 'pending' interest zako zote ziko nje.....anyway acha kutushusha wanawake tuonekana sio waaminifu.

she is out of her mind..once ufahamu wake ukirudi, ataelewa
 

Matamanio yasipokwisha. Ukanogewa itakuwaje?!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Halafu mtu unadanganyika una mke sijui girl friend.....full wizi huu
No at all
Huwezi kuamini namheshim sana bf wangu
ukioneshwa na kuambiwa niwapo mbali na kuwa na hisia mchanganiko huwezi amin

100% i will be a good wife to suit any body given hanywi pombe
 
No at all
Huwezi kuamini namheshim sana bf wangu
ukioneshwa na kuambiwa niwapo mbali na kuwa na hisia mchanganiko huwezi amin
100% i will be a good wife to suit any body given hanywi pombe

Yale yale! Haibiwi mtu, kwa kifupi hufai hata kuwa kwenye mahusiano
 

Yeah - Mmojawapo wa wale wanaopenda kuliwa nyumanju - Kwani Mmasai hawazi kula hiyo kitu nyingine au kwasababu wazungu wanalamba kabisa!
 
Unaanza kuchezea sharubu za simba tulia hivyo hivyo kama unayolewa
Dena not like that just say ABC kuhusu hisia zangu (hata kama zimefanana na za Chauro poa tu manake hatufanani)
 
Naona unakubali kimtindo kuwa hit & run ndo yenyewe au sio switledi?
Sijakubali kwa 100% coz nayo ina madhara yake, uta hit na ku run mpaka lini? Faida: hakuna kuumiza wala kuumizwa. Hasara: ukimwi n.k. Inshort mapenzi yanachanganya sana, ukiyafuatilia waweza either kuwehuka or kufa kabisaaaa. Yan bora kuwa sister kama mimi.
 

Hahaha mi kwa jinsi navyo ona hit & run ina Faida nyingi kuliko hasara.

Kwa taarifa yako walio olewa/oa wanaongoza kwa maambukizo ya ukimwi chunguza utabaini.
 
No at all
Huwezi kuamini namheshim sana bf wangu
ukioneshwa na kuambiwa niwapo mbali na kuwa na hisia mchanganiko huwezi amin

100% i will be a good wife to suit any body given hanywi pombe
acha matamanio ya hivyo kwa kuwa unata kuzidi mipaka
 
Tupo pamoja mkuu ila mimi napendelea sana hit & run huumii wala huumizwi mnamalizana kila mtu anashika njia yake.
kwa nini usitumie fetch,**** and forget kwa vichenchebe utavifaidi sana ila mimi NO (mmasai and only once mzungu)
 
upo tayari kujiexpress wazungu wanakula kote kote hawachagui

hofu kwako tu, kama hamu yake ni matumizi ya mlango wa dharura na mmasai anajua kuutumia ni laana si lazima atafute mzungu?
 
kwa nini usitumie fetch,**** and forget kwa vichenchebe utavifaidi sana ila mimi NO (mmasai and only once mzungu)

Hahahaha mmasai amesha anza kukumega? maana mchagga ulikataa ulisema ulikuwa unamlia visenti vyake. Huyu mmasai anakumega?
 
sidhani kama unaridhika hapo kwa mmasai ulipo?ungekuwa unaridhika usingetamani vya nje! wacha kumpotezea muda kaka wa watu kwa kumuweka 'pending' interest zako zote ziko nje.....anyway acha kutushusha wanawake tuonekana sio waaminifu.
naridhika sana hujui wamasai wana tai kwenye nanilii.
hizi ni hisia zangu na siza wanawake wote kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…