Samaki aina ya TUNA anauzwa hadi milioni 70 kwa mmoja. Je, haiwezekani kupanda vifaranga ziwa Victoria?

Samaki aina ya TUNA anauzwa hadi milioni 70 kwa mmoja. Je, haiwezekani kupanda vifaranga ziwa Victoria?

Sijajua kuchuna kukoje, nikishajifunza kupitia kwako nitakupa jibu....
Mwenyewe.

Hivi huyu samaki Tchuna ndiye kawafundisha kina dada kuchuna? Usikute anawachuna samaki wengine baharini
 
Hata ikibidi kumwaga viroba vya chumvi ziwani, itafutwe namna, maana kuna meli za kigeni huwa zinavamia bahari yetu ya hindi bila vibali na kuvua maTuna matani kwa matani na kutoroka nao, wanatuibia matrillioni kila mwaka, sasa dawa ni kuwavua wote na kuwapanda ziwani, tuone nani atakuja kuwaiba mule ziwani
mawazo ya ganja. viroba vya chumvi sio? tembeza kidude
 
Huyo
 

Attachments

  • 6640583af31509db338bdacd91a8388f.jpg
    6640583af31509db338bdacd91a8388f.jpg
    19.9 KB · Views: 16
Kuna kipindi Cha televisheni kule National Geographic kinaitwa Wicked Tuna..kinahusu uvuvi wa Hawa samaki ila hawa wanavuliwa baharini..na wanavuliwa kwa msimu na kwa idadi maalum..ni wakubwa sana na wana stake safi Sana.
Mkuu wala si watamu nyama yao nyeusi. Ukienda Zanzibar wapo kibao. Samaki mtamu na mwenye bei ni redsnapper
 
Kama kutakuwa na uwezekano serikali ifanye jitihada za kupanda vifaranga vya samaki Tuna ambae mmoja anaweza kuuzwa kwa hadi milioni 70.

Kama zoezi hili likifanikiwa basi tutaweza kuwauza nje na kuingiza mabilioni ya fedha za kigeni.

View attachment 1142659
Tuna ama Jodari
supu yake ni tamu sana.Supu ya Kichwa.
 
Back
Top Bottom