Samaki wa kupaka (grilled fish with coconut sauce)

Afu mi ili nifaidi napikaga sato mkubwa na kiugali kidogo japo ugali matonge mawili nakula
 

Hahahaha umpikie mapishi yote lol....
Mie natafuta viwalo kabisa vya kuvaa siku ya harusi yako..😉😉😉😉
 
Last edited by a moderator:
aki ya mama wadafa bwana mnatupatia sana kwenye menu..
 
Last edited by a moderator:
Huna haja ya kukuna nazi kwa raha zako......

yaani dia mie nimeenda sokoni nshanunua 3 napikia mojamoja chakula cha peke yangu nishanunua njegere za kesho,maharagwe ninayo ndani yaani kwa kweli bakhresa amesaidia sana.Karibu maini rost na spagheti natamani kuweka recipe ila nasikia uvivu nkiwa fresh nitarusha hewani.
 

Ahsante nlivokua na njaa saivi na kuzurura huku...leo nakuja kula huko lol
 
shukran farkhina.samaki wa mishkaki ni msosi niupendao sana ila sijui huwa mnapikaje.hapo juice ya Hanjal lazima ihusike

Ntaweka recipe yake....
Ni rahisi tu kupika
 

Sasa best kama huna oven,unaweza kumkaanga???
 
Sasa best kama huna oven,unaweza kumkaanga???

Mpenzi kama una ile grill ya mkono ya kubanika samaki, ni vizuri sana ukamchoma na makaa kwenye seredani. Anakua very taste.

Na hayo ndo mapishi haswa ya kizamani. Sikuizi sema hatuna hayo maseredani ndo mana tunatumia ovens
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…