Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money



I'm sorry bro, sirudii tena kuwatania wazee wa Chamazi. Viva Azam FC
 
Wanaume kukazwa -dar
wanaume kupaka kutoboa masikio -dar
wanaume kiepe yai -dar
wanaume wambea, udaku, majungu -dar
wanaume midosho -dar

Hakika Dar imebakiwa na mifano ya wanaume..

Wanakazwa na wanawake? Ongeza ufahamu ukiona mtu anakazwa ujue si mwanaume

BTW hilo lisikuogopeshe, karibu Dar
 
Wanaume wa Dar sasa mnakoelekea siko..huyu Samatta kijana wa watu msimuingize kwenye umbea wenu
 
Upo sahihi Mwanaume unaleta story ya kipuuzi .Mtu mwenyewe analia njaa anataka kucheza picha za ngono ili atoke..Alatae ofa hiyo..Mnatuletea story za nani zaidi kati ya TEAM FULANI..Aache umburura
 
Yani malaya anayepigwa miti hadi chooni ndio akatae kupanda Swiss air to Belgium? Aache kumchafuwa star wetu wa ukweli Samata, by the way email siku hizi zinatumika maofisini tu na siyo kwa mawasiliano ya kawaida, huyo kahaba bado anaishi zama za mawe.
 
Nimesha vaa condom ya kiume binuka basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…