Jana alicheza mechi yake ya kwanza kule Fenerbahtce, veepee aliisaidia timu ile? wanajuta kumfahamu?Mawazo ya wadanganyika Mara nyingi wanapenda kuona wenzao wanashindwa , cha kumshauri captain wetu asishughurike na maoni hasi ya wadanganyika alenge target yake maana wengi ni watu wa kukatisha tamaa tu.
Klabu ni kubwa ina zaidi ya miaka 100, pia kupewa airtime muda ule kwa mgeni akiwa na jezi #. 10 si mchezo, tumuunge mkono.Kuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL.
Ukweli ni upi?
Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?
Tumuombee na kumtia moyo, lakini yeye aache kusoma na kufadhaishwa na ya mitandaoni kuhusu yeye. Mungu wake aliyemfikisha pale alipo atampigania kwa mujibu wa alivyomjalia.Klabu ni kubwa ina zaidi ya miaka 100, pia kupewa airtime muda ule kwa mgeni akiwa na jezi #. 10 si mchezo, tumuunge mkono.
Yeesss...Tumuombee na kumtia moyo, lakini yeye aache kusoma na kufadhaishwa na ya mitandaoni kuhusu yeye. Mungu wake aliyemfikisha pale alipo atampigania kwa mujibu wa alivyomjalia.
Unatoka ulaya ya kikristo unaenda,Ulaya ya kiarabu!kiwango kimeisha,siku si nyingi,utasikia yupo Morocco,Mara paap,Kongo,mwisho bongo nyumbaniKuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL.
Ukweli ni upi?
Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?
duuuuh ndio byebye huyuKocha wake alisema hata mazoezini tu haonyeshi juhudi. Inabidi akajipange upya huko aendapo.
Baada ya kufunga ndoa mwaka jana sasa majibu ya ndoa ndio yanaonekana.Kuna wanaosema ni bora aende Uturuki akapate nafasi ya kucheza na kuna wanaosema kutokana na umri wake kiwango chake kimeshuka na kinakwenda kushuka zaidi huko Uturuki bora angebaki tu EPL.
Ukweli ni upi?
Kwani ligi ya Uturuki na ile ya Ubelgiji alikokuwa ni bora ipi?