Samatta Ndani ya UEFA

ikersmn

Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
18
Reaction score
16
Kwa namna moja au nyingine najua kuna mamilioni ya watanzania walikua wakingoja mtanange wa Genk ndani ya UEFA CL kumuona champion boy Mbwana Samatta.. Kama miongoni mwa watanzania basi natumia fursa hii kumpongeza champion boy 255 kwa kuipeperusha bendara ya Tanzania vyema, napata faraja sana.. Goodluck samagoal a.k.a captain diego.. #HainaKufeli
 
Samata hii n aibu Leo unapgwa mkono kirahis tu
 
Washapigwa 3 kwa 1 kina Samatta na hii ndo mechi kwao ilikuwa na afadhali zaidi ya hapo hatatoka na point yoyote kwa Napoli au Liverpool
 
3-0 MPK Sasa na Sammata wenu uzalendo kwanza haya twene kazi mi nahesabu tu
 
Halland alifungaga goli 9 peke yake na Leo ana hatrick dah kumbe Genk ni dhaifu hivi akienda Anfield au Naples walahi watapigwa 8
 
Washapigwa 3 kwa 1 kina Samatta na hii ndo mechi kwao ilikuwa na afadhali zaidi ya hapo hatatoka na point yoyote kwa Napoli au Liverpool
3-0 MPK Sasa na Sammata wenu uzalendo kwanza haya twene kazi mi nahesabu tu
Wamejitahidi wamepata moja, hao hawahawahi kushinda mechi yoyote hilo kombe

Hapo Samata na Genk wako darasani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…