πΉπΉπΉ Km na wewe gigy money hamna shida njoo unywe..!!acheni kuzibatiza majina ya ajabu pombe zenye quality!.
nyinyi ndo mnakunywa baadae mnaanza kupiga kelele nakuanguka kwenye mitaro!..π
dah! haya andaa konyagi hapo na mziki maswala ya mtoto wakiume kuitwa gigy hapana heri nusu shali kuliko shali zima...ππΉπΉπΉ Km na wewe gigy money hamna shida njoo unywe..!!
Kwa Nini mdogo angu..Unakosea
Bint kiziw leo umesikia?Kazi nzuri, mandhari nzuri.
Baba ntakuja kujifunza kwako kupikaJe kama nimeazima
Karibu sanaBaba ntakuja kujifunza kwako kupika
Kwa mama angu mkuuWe jamaa ulijifunzia wapi kupika, hongera brother ππΎππΎππΎ
Alikuwa mtu wa tanga nini..Kwa mama angu mkuu
Hapana ni mtu wa mbeya sio mtangaAlikuwa mtu wa tanga nini..
Umenishawishi niingie forum ya mapishi baada ya miaka mingi.
Aliyekushauri utengeneze insta page au youTube channel.. Alikuwa sawa..
Nitakuwa subscriber wa kwanza. Hongera sana mkuu ππΎππΎ
Hivo tu π na mengine πMh! halafu ukiliwa uje ulete uzi "wakaka wa jf wanatabia mbaya!"
Bhasi anajuaHapana ni mtu wa mbeya sio mtanga
ZitafikaBhasi anajua
Mpe hongera zake pia ππ½
We unakosa vizt vizuri sanaMmepiga tayari mnyama nyie π€£π€£
Pombe utakNaomba unifanyie delivery kwa bus la kidia one, hapo kesho
Burger kumi,
Pizza tatu,
Makange ya kuku,
Pamoja na smoothie