Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #161
Ngoja tutafute wafadhiri wa kipindiAnzisha YouTube:
Pika na Mwachiluwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tutafute wafadhiri wa kipindiAnzisha YouTube:
Pika na Mwachiluwi
ndugu we endelea kunywa vi juice tu..😀Ahahah ngumu iyo siku kichwa kilium mpaka niliokuwa nao wakashangaa kabisa
Namtuma boda akufwatenaomba niwe mgeni wako leo, usimalize pleaseee. Niko njiani 😜
😹😹😹 Si tunakopea tu ili tutengeneze faida, em mpange basi..!!Nyumba ya urith unataka yule bimkubwa afe
Ase 🙌Mh! halafu ukiliwa uje ulete uzi "wakaka wa jf wanatabia mbaya!"
Hapana iyoMwachi njoo unaitwa huku.
Ukinywa nyingi..usipo kunywa maji ya kutosha lazima yakuletee kuumwa na kichwa.. hangover...kutapika..kukosa appetite na kuchukia Sanaa pombeeehiyo wine nishaijua inatwa drosty hof bila shaka, mkuu unaumia kichwa wine! na beer nikajua hata ulikunywa makali..😀
Basi wewe ni malaika yani wine unaumwa kichwa!, ngoja nikuache ukikuwa utakuja mwenyewe nilitaka nikuvute!..🤣
Kwender 😹sema ukweli momy...?
Umejuaje wana mixHizi ni for beginners wazoefu ni mwendo wa KUPIGA spirit...kitu Cha magic moment.. konyagi...k vant..
Binafsi mavitu machungu machungu sijawai kuyapenda.
mkuu vipi nakupeperushia njiwa!, usikute ulijipinda kupika kwaajili yanjiwa halafu mimi nakuja kupeperusha tu..🤣Ase 🙌
Mtindi ndio kitu changu pendwa kabisandugu we endelea kunywa vi juice tu..😀
Ahhaha😹😹😹 Si tunakopea tu ili tutengeneze faida, em mpange basi..!!
wewe ni lilevi lione...🤣🤣Kwender 😹
Ahahha hapana nimecheka na kauli yako ya onyomkuu vipi nakupeperushia njiwa!, usikute ulijipinda kupika kwaajili yanjiwa halafu mimi nakuja kupeperusha tu..🤣
Haha! mkuu unanifundisha fundi...😀Ukinywa nyingi..usipo kunywa maji ya kutosha lazima yakuletee kuumea na kichwa.. hangover...kutapika..kukosa appetite na kuchukia Sanaa pombeee
Ujana unamambo mengi mdogo angu 🏃🏃🏃Umejuaje wana mix
Samahani mkuu😅😅😊☺️Haha! mkuu unanifundisha fundi...😀
mwambie aje wewe ni mwema huna tabia mbovumbovu kwanza hunywi na unapenda wema...🤣Ahahha hapana nimecheka na kauli yako ya onyo
Ngoja sasa nimtafute shemeji yako, akipatikana mzungu itakuwa vizuri sana ili tupate katoto ka halfcast..!!Kabisa iachie kesho 😂