KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
unakwama sana kijana...🤣Situmii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakwama sana kijana...🤣Situmii
Kesho nasubiri magift gift mie, muda wa kuingia jikoni nautoa wapi? 😹😹Sasa kesho upike katress na hizi af upige pichaa
Utazikuta kabisaNibakizie zanguuu
Zisha nishinda sana izounakwama sana kijana...🤣
😹😹 Limeisha hilo kwanza anitumie hayo mapishi nionje km chumvi ipo sawa…!!mpe mtaji
Si ulisema utampikia kunfanya atoe hati ya kiwanjaKesho nasubiri magift gift mie, muda wa kuingia jikoni nautoa wapi? 😹😹
niambie ulikwama wapi nikuelekeze usikute uliingia gari la akina kasongo..🤣Zisha nishinda sana izo
Ahahah boda anakuja nazo kkkooo😹😹 Limeisha hilo kwanza anitumie hayo mapishi nionje km chumvi ipo sawa…!!
Uwe unapiga japo Smirnoff black iceZisha nishinda sana izo
ili useme chumvi haipo sawa umnyime mtaji, tunaijua hiyo!..😀😹😹 Limeisha hilo kwanza anitumie hayo mapishi nionje km chumvi ipo sawa…!!
😹😹😹 Mimi huyu??Si ulisema utampikia kunfanya atoe hati ya kiwanja
Kinywa kicha kinauma nilijaribu serenget lite kichwa kiliuma sana hapo ni moja tu nikaja flyfish kichwa bado kuuma nikaja wine moja hivi inaitwa drothp jina lakr gumu ikanishinda kabisaniambie ulikwama wapi nikuelekeze usikute uliingia gari la akina kasongo..🤣
Zifunge kwenye foil zisipoe 😍😋Ahahah boda anakuja nazo kkkooo
Sihitaji kichwa kinauma mpaka mishipa inaonekanaUwe unapiga japo Smirnoff black ice View attachment 3235502
Hii umix na sprite uweke na ice inabamba kinouma… 😍Uwe unapiga japo Smirnoff black ice View attachment 3235502
🙌🙌 utaki kuwapa nafasi wafanya kazi wako waibe ata pesa ya madera sita😹😹😹 Mimi huyu??
Weeh.!! Nilisema lini hiyo?
Nitakuwa nimerogwa sio bure…!!
Imeisha iyooZifunge kwenye foil zisipoe 😍😋
Na weww unapiga vyombo kabisaHii umix na sprite uweke na ice inabamba kinouma… 😍
Mtaji wenyewe wa afu tatu sasa wakiiba si ntafunga goli 😹😹😹🙌🙌 utaki kuwapa nafasi wafanya kazi wako waibe ata pesa ya madera sita