Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Unajificha sana wewe ngoja niache kuvaa mewaniNa miwan hiyo utanionaje ukivaa na ile nyingine hg jumla 2 ndio kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajificha sana wewe ngoja niache kuvaa mewaniNa miwan hiyo utanionaje ukivaa na ile nyingine hg jumla 2 ndio kabisaa
Ipo bhna mwaitege alisema mwanaume bila mwanamke ajakamilikaKama unaweza kupika hivi huna haja ya mwanamke😂
Au sio ngoja siku nipike chikandanga
Parefu sana hapo hasa kwa watu wanaoboreka haraka kama Mimi 😅😅😅.Sio sana bhna
😂😂😂 hapana mimi ni mwasalipa ila nimeishi uko wazee walikuwa kikaz ukoKumbe mmakonde🤣🤣
Unataka nijianike auUnajificha sana wewe ngoja niache kuvaa mewani
Ahahaha chakufanya uvivu unawka kwenye kochi unaendelea na mamboParefu sana hapo hasa kwa watu wanaoboreka haraka kama Mimi 😅😅😅.
Hapana kila nikizulula nakuona siku moja mojaSa
Unataka nijianike au
Alikufundisha nani kupika😂😂😂 hapana mimi ni mwasalipa ila nimeishi uko wazee walikuwa kikaz uko
Zinatosha hizoHapana kila nikizulula nakuona siku moja moja
Mama angu alikuwa ananifanyia kusudi nikirudo likizo morng anasepa anakwambia mboga zipo kila kitu kipo mchana unihesabie chakula uyo kasepaAlikufundisha nani kupika
Tangawizi sawa ila kitunguu swahumu sikipendi kinakinaisha kwa mtazamo wangu labda nikiuunguze sanaNavyopenda sambusa za nyama 🥰 na pepsi baridiii
Ila kwenye nyama ungeweka tangawizi na kitunguu swaumu
Ahaha sawa bhnaZin
Zinatosha hizo
Mshukuru sana mama yakoMama angu alikuwa ananifanyia kusudi nikirudo likizo morng anasepa anakwambia mboga zipo kila kitu kipo mchana unihesabie chakula uyo kasepa
Nimependa location..napata vibe kama lodge fulani maeneo ya serengeti hukoLeo tujifunze hii kitu sambusa za nyama
MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta
Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406
Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu
View attachment 3235439
Ameweka utasema za kuuza 🤣Sambusa nzuri ila nyama unapunja sana...
Next time tuwekee hatua zote muhimu then nitakua najaribu (huu mwaka nimeplan nijue kupika)Ahahaha chakufanya uvivu unawka kwenye kochi unaendelea na mambo
Thank yuuuIyo imekaa poa karibu kabisa