Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Ni kweli kabisa mkuuNishakushtukia ww n Mwl wa Hotel Management na apo ni hotelini izo za mambugani.
unajua hadi kusukuma chapati aloo we kiboko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa mkuuNishakushtukia ww n Mwl wa Hotel Management na apo ni hotelini izo za mambugani.
unajua hadi kusukuma chapati aloo we kiboko.
siku nyengine shikeni mmoja akakate nyanya jikoni huko...🤣Huwa inabidi kuwapa shit tu ndio mtu anaosha kikombe alichonywea chai. Ukikaa kimya wala mtu hajigusi.
Suresometimes you have to do double strain if you have two strainer
Kumbe huwa unafika kileleni.Nimepamiss hapo kwako ..kipindi Cha masika raha sana hapo ni pale kileleni 🥹🥹🥹
Ahahah mkurya atatukana sanasiku nyengine shikeni mmoja akakate nyanya jikoni huko...🤣
acha umbea...😀Kumbe huwa unafika kileleni.
Ana maanish nyumba ipo juu ya lima kabisaKumbe huwa unafika kileleni.
atakoma mwenyewe..Ahahah mkurya atatukana sana
Mke wako atafaidi kinyama..!
Ooh kumbe parefu refu kidogo bhana.Kama upo peke yako ukiwa chap masaa mawili umemaliza kabisa
Ngoja wazee waondoke Waache vyumba.🤣Kabisa karibu tena uje
Sio sana bhnaOoh kumbe parefu refu kidogo bhana.
Wewe ni mwehu mwehu bonge.🥹😁😁Kumbe huwa unafika kileleni.
Na wasenegali ( Panya ).Au sio ngoja siku nipike chikandanga
Ifute iyo kwanza qouteOngea taratibu bwana
Kabisa panya wakutoshaNa wasenegali ( Panya ).
Na huo ndio utakuwa mwisho wa watu kusoma nyuzi zako.Kabisa panya wakutosha
Na miwan hiyo utanionaje ukivaa na ile nyingine hg jumla 2 ndio kabisaaThanks bi mkubwa sikuoni sikuzi
Ahahah ila najua wewe utaendelea somaNa huo ndio utakuwa mwisho wa watu kusoma nyuzi zako.