Sambusa za nyama na juice ya matunda

Sambusa za nyama na juice ya matunda

Haha! mkuu wengine fani zao ni u chef ukute ndo alichosomea na anafanya maisha kupitia hicho so ilimradi havunji sheria mi sioni tabu!.
Upo sawa mkuu ila nimeandika hiyo BTW kwasababu nimekuja kugundua watu wa kanda ya ziwa wana mfumo dume sana, kupika mwanaume wanashangaa sana, hata mtu akila kuondoa chombo tu hawezi na unakuta ni mazingira ya kazini mpo wanaume tu.
 
Mimi huwa nasaga kwanza passion halafu nachuja na chujio la chai kutoa mbegu.
Halafu maji ya passion nachanganya na maembe nasaga tena.
Vidude vinakua havipo hata punje.
Duh basi mimi nilikuwa nachuja mpaka nachoka nawekaga ivyo ivyo kuna siku kuna jamaa walinitembelea wakasema wamependa izo chenga nikaona kama inaongeza mvuto nikaachana nazo
 
Mimi huwa nasaga kwanza passion halafu nachuja na chujio la chai kutoa mbegu.
Halafu maji ya passion nachanganya na maembe nasaga tena.
Vidude vinakua havipo hata punje.
ndo inavyotakiwa usikute yeye anamix vyote! passion mara nyingi inakuwa blended peke yake halafu ndo unakuja kuimix, kuna matunda yakublend kwa kuyamix na mengine lazima uyablend peke yake.
 
Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama

MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta

Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406

Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu

View attachment 3235439
Nishakushtukia ww n Mwl wa Hotel Management na apo ni hotelini izo za mambugani.
unajua hadi kusukuma chapati aloo we kiboko.
 
Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama

MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta

Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406

Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu

View attachment 3235439
Nimepamiss hapo kwako ..kipindi Cha masika raha sana hapo ni pale kileleni 🥹🥹🥹
 
Back
Top Bottom