Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Umejuaje mkuu 😂.....Pombe utak
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje mkuu 😂.....Pombe utak
Aina gan bossUmejuaje mkuu 😂.....
Aya kila la heriIpo bhna mwaitege alisema mwanaume bila mwanamke ajakamilika
😅😅😅 ndio.Bint kiziw leo umesikia?
Nimefurah kukuona leo hapa😅😅😅 ndio.
Kuna wakati tanapa walisogea kisima Cha chini waliweka barrier kwa ajili yenu mpunguze kupiga 🤣🤣We unakosa vizt vizuri sana
Mh leo wamepatikan kama 3 tena tofaut unachagua mwenyewe tuKuna wakati tanapa walisogea kisima Cha chini waliweka barrier kwa ajili yenu mpunguze kupiga 🤣🤣
Asante sana , nimefurahi pia.Nimefurah kukuona leo hapa
Heineken, au safari fresh tuu.....Aina gan boss
Ngano lakini imekandwa ikakandikaLeo tujifunze hii kitu sambusa za nyama
MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta
Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406
Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu
View attachment 3235439
ThankNgano lakini imekandwa ikakandika
Atafaidije wakati jamaa ni mpishi wa hotelini na hashindi nyumbani?Mke wako atafaidi kinyama..!
Atakua anarudi na vyakula vya hotelini nyumbaniAtafaidije wakati jamaa ni mpishi wa hotelini na hashindi nyumbani?
Humtakii mema.Atafurushwa na tajiri yake.Atakua anarudi na vyakula vya hotelini nyumbani
Ndio unakuaje mweupeKwahiyo ukiwa mweupe ndio unaitwa "mzungu" ?🤣🤣
Kuna shido gano?
Ujaona sambusaKuna shido gano?