Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #261
Sawa bossNaomba un quote kwenye uzi wako karanga za mayai wife ajifunze kitu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bossNaomba un quote kwenye uzi wako karanga za mayai wife ajifunze kitu mkuu
Kataa ndoa hoyee! maziwa yapo kwa jirani ng'ombe wamfugia nani?Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama
MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta
Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406
Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu
View attachment 3235439
Nkupkiage bby😁😁 Njoo ujifunze kupika bwana.
Ndio, unajua vile napenda kula.Nkupkiage bby
UsisemeNdio, unajua vile napenda kula.
Sambusa kama nini sijui 😂🤣 Acha wivu
Wewe zako ulizopika zipo wapi?Sambusa kama nini sijui 😂
Nipike sambusa kwani natolewa mahari mimi😂Wewe zako ulizopika zipo wapi?

Hapo unashangaa mwanaume kumiliki vibao vya chapati na kikunio Nazi.mwanaume unamiliki vipi kibao cha kusukumia chapati na kikunio cha nazi au mwenzetu ulishatupa taulo kitambo
sambusa zenyewe mbayaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kupost nyuzi za misosi ushapata hadi mchumba😂
wewe na mtoa mada wote tushawashtukia kitambo tuHapo unashangaa mwanaume kumiliki vibao vya chapati na kikunio Nazi.
Tena hapo hapo unasonya Sambusa zenyewe mbayaa. Lakini unashangaa mwanaume kumiliki hivyo🤣🤣
Sasa ndio umefanya nini.
Si ndio lazima za mwanaume ziwe tofauti na za mwanamke.

🤣🤣🤣🤣 Karibu sana, karibu tenawewe na mtoa mada wote tushawashtukia kitambo tu![]()
Kumbe bro ji chinga mwenzetu! Sasa mbona wewe hupelekeshwi na mapenzi kama ilivo kwangu mimi na Harmonize?Au sio ngoja siku nipike chikandanga
Ni vitu vya kawaida sana ivyo ila wew unavitazama au unaviona kwa ubaya na ndio maana kwako kuwa navyo ni matusimwanaume unamiliki vipi kibao cha kusukumia chapati na kikunio cha nazi au mwenzetu ulishatupa taulo kitambo
sambusa zenyewe mbayaa
Shida mnapenda sana kumwaga matusi hapa jf kwa watu msio wajua wapi hapo nimekuita wewe kuja kusoma hapa kwenye hii thread nimekutag wapi?wewe na mtoa mada wote tushawashtukia kitambo tu![]()
Kuwatambua wanawake wapojeKumbe bro ji chinga mwenzetu! Sasa mbona wewe hupelekeshwi na mapenzi kama ilivo kwangu mimi na Harmonize?
Sichukulie kwa ukubwa uhoMwanaume unapata muda wa kupika hadi sambusa🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔